Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Kocha Sarri ametokwa na maneno hayo baada ya timu yake kuchapwa mara mbili katika siku za karibuni, ikianza na kipigo kutoka kwa Tottenham Hotspur Jumamosi iliyopita kabla ya Jumatano ya juzi Jumatano kukung’utwa 2-1 na Wolves huko Molineux.
 
Nadhani tulicheza vizuri kwa dakika 55 tu,” alisema Sarri.

“Tumefunga bao la kwanza, kisha ikawa 1-1, na hakika ilikuwa bahati mbaya kwa sababu ukweli tulikuwa tumeutawala mchezo.

Lakini ghafla tukawa timu tofauti kabisa tukaanza kucheza hovyo na sijui ni kwa sababu gani hata mimi sifahamu.
 
Ripoti zilizotolewa na Calciomercato.com zinadai Arsenal ipo kwenye mazungumzo na Mama wa Rabiot, Veronique, kuhusu mpango wa kumnasa kiungo huyo ili akakapige London. Rabiot anaweza kusaini mkataba wa awali wa kujiunga na Arsenal ni Januari Mosi, mwakani.
 
"Solvency stress tests reveal that 22 banks, representing 32 percent of banking assets, would become undercapitalised in the tail risk scenario," the IMF said in its latest financial system stability assessment of Tanzania.
 
Tanzania has been trying to tighten controls on the banking industry as well as push ahead with reforms to bolster the economy, which grew 7.1 percent last year and is expected to maintain the same pace of growth in 2018, supported by agriculture, mining, construction, communication and financial services.
 
Back
Top Bottom