Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,091
- 1,095,101
Kocha Sarri ametokwa na maneno hayo baada ya timu yake kuchapwa mara mbili katika siku za karibuni, ikianza na kipigo kutoka kwa Tottenham Hotspur Jumamosi iliyopita kabla ya Jumatano ya juzi Jumatano kukung’utwa 2-1 na Wolves huko Molineux.