Ingawa mtoto mchanga napozaliwa meno yake yanakuwa bado hayajachomoza kwa nje, lakini yanakuwa tayari yameshaanza kuota kwa ndani miezi sita kabla ya kuzaliwa.
Pua ya binadamu inaweza kubaini harufu trilioni moja
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Leslie Vosshall kwenye chuo cha Rockefeller, ulibaini kuwa pua ya binadamu inaweza kubaini harufu tofauti takriban trilioni moja.
Kiwango hiki ni tofauti na kilichokuwa kinafahamika mwanzo cha harufu 10,000. Je wewe unajua ulishanusa harufu ngapi? Kama unajua basi tuandikie hapo chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.