myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,648
- 656,484
Kila mtu ana umuhimu wake..
ni ukwel mtupuNi wazi kuwa mtu anapougua majukumu au ratiba zake nyingi huvurugika au kukwama; hivyo kwa kulinda afya yako utaweza kutimiza majukumu yako kwa mpangilio uliojiwekea.
Mashaallah
Amani yetu idumu Milele..
Tunamshukuru Mwenye Enzi Mkuu Mungu kwa kuiona siku hii ya leo
Mamlaka nchini Sri Lanka zimesema zimepata jiwe kubwa zaidi la thamani ya mamilioni ya pesa aina ya sapphire bila kutarajia .
Unalala Lofa unaamka kibopaMfanyabiashara wa vito alisema jiwe hilo lilipatikana na wafanyikazi wakichimba kisima nyumbani kwake katika eneo lenye utajiri wa madini la Ratnapura.
Aseee, siyo mchezoWataalam wanasema jiwe hilo, ambalo lina rangi ya samawati, lina thamani inayokadiriwa kufikia dola milioni 100 katika soko la kimataifa
Mmmh, hilo jiwe limevunja rekodiJiwe hilo lina uzani wa karibu kilo 510 au karati milioni 2.5 na limepewa jina la "Serendipity Sapphire".
Haswaaaa, maana sasa amekuwa mtu mwingine kabisaHakutaka kutoa jina lake kamili au eneo kwa sababu za usalama.
Asee.Wakati wa mchakato wa kusafisha, Bw Gamage alisema mawe mengine yalitoka yalidondok na yaligunduliwa kuwa yakuti ya ubora wa juu.
Hilo jiwe litarudisha heshima yaoUtaftaji huo unakuja wakati tasnia ya vito ya Sri Lanka imepata hasara kwa sababu ya janga la Corona .