Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,186
- 188,439
Kwahiyo huyo D ndio kaamua kufuta alichokuwa amecomment? Mwambie mi mwenyewe natumia browserNdiyo hivyo tu
Kwahiyo huyo D ndio kaamua kufuta alichokuwa amecomment? Mwambie mi mwenyewe natumia browserNdiyo hivyo tu
umeambiwa ubonyeze reply zaidi ya mara mojaKapa 🙄🙄
😂😂😂😂😂😂kuna watu hawafurahishwi.
- utani wa sembe sasa basi
- utani wa siasa pia basi
Matani hapa hayaruhusiwi watu wanaumia. Ukinitania halafu nikaumia mtiti wake utakwenda kunishtaki kwa Mello kabisaNatamani kukutania
Sababu ya kuuliza ni hizo comments hapo nyuma,..serikali yenye kujielewa ndio inapaswa kuwajibika, unapoona wimbi kubwa la watu limekataa kujiandikisha ujue kuna tatizo kubwa sana la kimfumo.
khofu yangu ni huyu jamaa amekaa vibaya kimatamko ndio maana nimependekeza hao wananchi wajitokeze kujiandikisha kupiga kura.
kuna mama fulani hivi juzi alimwambia mwambie mbunge wako wa upinzani uliyemchagua akuletee huduma ya maji
Kama unatumia app,ukigusa comment utaona comment yote inakuja hivi...fanya hivyo kwa comment nyingine unayotaka kui quote,itakuja kama hiyo picha ya 2.Ndio nini?
Nenda chumban weweNatamani kukutania
Asipoelewa na hapa basi viboko vinamhusu kwa sababu hakuna namnaKama unatumia app,ukigusa comment utaona comment yote inakuja hivi...fanya hivyo kwa comment nyingine unayotaka kui quote,itakuja kama hiyo picha ya 2.
Nenda kwenye hiko kimshale cha reply unakuwa umesha quote comment unazozitaka.
(Pole sijui kuelekeza)View attachment 1235183View attachment 1235184
😂😂😂😂🚶🚶🚶Natafuta mwenyeji arusha
Nipo hapa carba😃Natafuta mwenyeji arusha