capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,353
- 121,237
Nmekumiss sana ujue,
How are You?
Nmekumiss sana ujue,
😂😂Nilijua tu utatia neno
Jana nilikuuliza hapa ni wapi bro?View attachment 1228632
Jina la huyu ndege, picha zinaonesha hawapatani.
Na huyo nyokaHawapatani na nani?
Nilijua tu utatia neno
💪💪 gr8 mind, gr8 ideaBro. Nimejifunza haya mambo kwa vitendo kama mwalimu wa kujitolea katika shule za watoto wenye vipaji huko kwa Trump kwa miaka zaidi ya minne. Naingia darasani. Nawasaidia walimu. Najifunza wanavyofundisha. Naangalia mitaala yao ilivyo. Shule zao zimegawanywa katika michepuo tangu watoto wakiwa Middle School. Wanaotaka kuwa madaktari. Manesi. Wafamasia. Wahandisi. Wataalamu wa kompyuta, ufundi wa vitu mbalimbali (magari, ndege, umeme, Radiology technician, dentist assistant...)...Kama ni mchepuo wa udaktari, kwa mfano wanafundishwa kwa vitendo. ABC za kuwa daktari. Wanatembelea mahospitali. Wanaangalia madaktari wanavyofanya kazi. Madaktari wanaalikwa kuja shuleni na kufanya upasuaji mdogo mdogo. Wanajifunza kwa vitendo...Watoto wanahamasika sana.
Hili limekuja baada ya Marekani kujikuta inaachwa nyuma na nchi zingine hasa katika sayansi na tekinolojia; na wanahaha sana kubadili hiyo hali. Nao wamekumbwa pia na hatari ya kuzalisha wahitimu ambao hawana uzoefu kivitendo. Na mkazo sasa unaelekezwa huko. Mtu awe akimaliza high school awe na kitu tangible cha kufanya na siyo kukariri fomyula tu za Algebra na upuuzi mwingine.
Nimekuwa nikiandika andika mapendekezo yangu kuhusu jambo hili kwa muda mrefu na sasa nina kakitabu kabisa na mapendekezo kibao. Nataka nimpelekee waziri na naamini kwamba baadhi ya mapendekezo yatasaidia sana kwa sababu wala hayahitaji pesa nyingi. Japo najua yatatupwa tu huko lakini ni lazima tubadilishe mfumo wetu wa elimu vinginevyo huko tuendako hatutafika...
Asante bro ...
Nilijua tu utatia neno
Natamani kujua zaidi kuhusu hii sehemuThe Forest Lake. Lipo mkoa wa Tyumen huko Russi, ni moja kati ya maeneo machache Duniani ambayo mwanadamu hajawahi kuweka unyayo wake.
View attachment 1228661
Sikujua na sasa najua, shukrani sana mzee wa TMKThe Forest Lake. Lipo mkoa wa Tyumen huko Russi, ni moja kati ya maeneo machache Duniani ambayo mwanadamu hajawahi kuweka unyayo wake.
View attachment 1228661
Safi bro,Bro. Nimejifunza haya mambo kwa vitendo kama mwalimu wa kujitolea katika shule za watoto wenye vipaji huko kwa Trump kwa miaka zaidi ya minne. Naingia darasani. Nawasaidia walimu. Najifunza wanavyofundisha. Naangalia mitaala yao ilivyo. Shule zao zimegawanywa katika michepuo tangu watoto wakiwa Middle School. Wanaotaka kuwa madaktari. Manesi. Wafamasia. Wahandisi. Wataalamu wa kompyuta, ufundi wa vitu mbalimbali (magari, ndege, umeme, Radiology technician, dentist assistant...)...Kama ni mchepuo wa udaktari, kwa mfano wanafundishwa kwa vitendo. ABC za kuwa daktari. Wanatembelea mahospitali. Wanaangalia madaktari wanavyofanya kazi. Madaktari wanaalikwa kuja shuleni na kufanya upasuaji mdogo mdogo. Wanajifunza kwa vitendo...Watoto wanahamasika sana.
Hili limekuja baada ya Marekani kujikuta inaachwa nyuma na nchi zingine hasa katika sayansi na tekinolojia; na wanahaha sana kubadili hiyo hali. Nao wamekumbwa pia na hatari ya kuzalisha wahitimu ambao hawana uzoefu kivitendo. Na mkazo sasa unaelekezwa huko. Mtu awe akimaliza high school awe na kitu tangible cha kufanya na siyo kukariri fomyula tu za Algebra na upuuzi mwingine.
Nimekuwa nikiandika andika mapendekezo yangu kuhusu jambo hili kwa muda mrefu na sasa nina kakitabu kabisa na mapendekezo kibao. Nataka nimpelekee waziri na naamini kwamba baadhi ya mapendekezo yatasaidia sana kwa sababu wala hayahitaji pesa nyingi. Japo najua yatatupwa tu huko lakini ni lazima tubadilishe mfumo wetu wa elimu vinginevyo huko tuendako hatutafika...
Asante bro ...
Bro. Nimejifunza haya mambo kwa vitendo kama mwalimu wa kujitolea katika shule za watoto wenye vipaji huko kwa Trump kwa miaka zaidi ya minne. Naingia darasani. Nawasaidia walimu. Najifunza wanavyofundisha. Naangalia mitaala yao ilivyo. Shule zao zimegawanywa katika michepuo tangu watoto wakiwa Middle School. Wanaotaka kuwa madaktari. Manesi. Wafamasia. Wahandisi. Wataalamu wa kompyuta, ufundi wa vitu mbalimbali (magari, ndege, umeme, Radiology technician, dentist assistant...)...Kama ni mchepuo wa udaktari, kwa mfano wanafundishwa kwa vitendo. ABC za kuwa daktari. Wanatembelea mahospitali. Wanaangalia madaktari wanavyofanya kazi. Madaktari wanaalikwa kuja shuleni na kufanya upasuaji mdogo mdogo. Wanajifunza kwa vitendo...Watoto wanahamasika sana.
Hili limekuja baada ya Marekani kujikuta inaachwa nyuma na nchi zingine hasa katika sayansi na tekinolojia; na wanahaha sana kubadili hiyo hali. Nao wamekumbwa pia na hatari ya kuzalisha wahitimu ambao hawana uzoefu kivitendo. Na mkazo sasa unaelekezwa huko. Mtu awe akimaliza high school awe na kitu tangible cha kufanya na siyo kukariri fomyula tu za Algebra na upuuzi mwingine.
Nimekuwa nikiandika andika mapendekezo yangu kuhusu jambo hili kwa muda mrefu na sasa nina kakitabu kabisa na mapendekezo kibao. Nataka nimpelekee waziri na naamini kwamba baadhi ya mapendekezo yatasaidia sana kwa sababu wala hayahitaji pesa nyingi. Japo najua yatatupwa tu huko lakini ni lazima tubadilishe mfumo wetu wa elimu vinginevyo huko tuendako hatutafika...
Asante bro ...
Amazing!Natamani kujua zaidi kuhusu hii sehemu
hata mimi huyu kocha sijawahi kumsikia.
ShukraniAmazing!
Bright Side — Inspiration. Creativity. Wonder.
Our site is dedicated to creativity. We made Bright Side to help nurture the seeds of creativity found in all of us. We believe imagination should be at the heart of everything people do. Bright Side is the place to find the most inspiring manifestations of this from around the world.brightside.me
Usijali mpendwaShukrani
Na huyo nyoka