moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,830
- 691,374
Jana nilikuuliza hapa ni wapi bro?
Bro. Nimejifunza haya mambo kwa vitendo kama mwalimu wa kujitolea katika shule za watoto wenye vipaji huko kwa Trump kwa miaka zaidi ya minne. Naingia darasani. Nawasaidia walimu. Najifunza wanavyofundisha. Naangalia mitaala yao ilivyo. Shule zao zimegawanywa katika michepuo tangu watoto wakiwa Middle School. Wanaotaka kuwa madaktari. Manesi. Wafamasia. Wahandisi. Wataalamu wa kompyuta, ufundi wa vitu mbalimbali (magari, ndege, umeme, Radiology technician, dentist assistant...)...Kama ni mchepuo wa udaktari, kwa mfano wanafundishwa kwa vitendo. ABC za kuwa daktari. Wanatembelea mahospitali. Wanaangalia madaktari wanavyofanya kazi. Madaktari wanaalikwa kuja shuleni na kufanya upasuaji mdogo mdogo. Wanajifunza kwa vitendo...Watoto wanahamasika sana.Hakika bro, elimu kwa njia ya vitendo ni bora sana tena sana sana
Nilijua tu utatia nenoChura wa Bwawa la Jangwani hawatakubali hiyo
Jina la huyu ndege, picha zinaonesha hawapatani.