Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Jkt tulifundishwa uzalendo wa dhati kwa taifa letu naam
Long live Jkt...
#Jktmalezikwavijana
FB_IMG_15670829691332001.jpeg
 
 
Hakuna klabu iliyopata faida kubwa kama Benfica ya Ureno ambayo imeuza wachezaji 29 kwa zaidi ya dau la Pauni 10 milioni na kinda mahiri, Joao Felix ameweka rekodi ya mauzo kwa kutua Atletico Madrid kwa dau la Pauni 113 milioni.

Klabu nyingine kama RB Salzburg, Sao Paulo na Basel ni miongoni mwa klabu ambazo pia zimetengeneza faida kubwa katika mauzo ya mastaa. Klabu za Kiingereza Leicester, Bournemouth, Stoke, Brighton, Aston Villa, Everton, West Ham, Wolves, Liverpool, Arsenal, Chelsea, Manchester United na City ni miongoni mwa klabu 25 za juu za Ulaya ambazo zimejikuta zikipata hasara linapokuja suala la mauzo na manunuzi.

Kwa faida ya mauzo ya wachezaji wanaoondoka, Chelsea inaongoza kwa faida baada ya kumuuza Eden Hazard kwenda Real Madrid na sasa imeuza mastaa wake kwa kiasi cha Pauni 811 milioni katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Benfica wanapata faida kwenye mauzo ila nje ya hapo hawana faida kuzidi timu nyenginezo, Unless Benfica ingekua inawatunza hao wachezaji angalau misimu miwili kama timu nyenginezo mfano Atletico madrid ili waifikishe mbali kimafanikio ndani ya uwanja wapate coverage kubwa iwaongeze washabiki, wauze jezi, wapanue uwanja, Tv rights wapewe hela nyingi n.k kuliko kuambulia hizo faida za kuuza mtu mmoja mmoja huku mapato mengi hayakuwi kwa sababu ya kukosa wachezaji wenye mvuto kibiashara.

jaribu kuwaangalia atletico madrid ambao kabla ya mauzo ya griezmann walikuwa wametengeneza mapato ya euro millioni 969 na pia wamenunua wachezaji kwa euro millioni 977, ukiangalia net balance yao ni ndogo mno ukiwalinganisha na benfica lakini ukiangalia pato lao la mwaka wanalokusanya kutokana na biashara,ushiriki wao eufa pamoja na tv rights ni kubwa zaidi na hili linachangizwa zaidi jinsi wanavyoendelea kujiimarisha chini ya diego simeone kwa kufanya usajili wa nguvu.
 
Former Barcelona and Spain manager Luis Enrique has paid tribute to his nine-year-old daughter after she passed away from osteosarcoma -- a form of bone cancer.
The 49-year-old released a statement on Twitter Thursday evening confirming Xana's death and thanking hospital staff for their care over an "intense five months."
"We will miss you lots but we will remember you every day of our lives, with the hope that in the future we'll meet each other again,"
1567192232290.png
 
Cristiano Ronaldo, Lionel Messi & Eric Cantona light up Uefa awards


Lionel Messi and Cristiano Ronaldo

Lionel Messi and Cristiano Ronaldo are both five-time winners of the Ballon d'Or
Football draws and awards nights can often be dreary affairs, full of stilted speeches and goal montages.
But when you get two of the greatest players ever - Lionel Messi and Cristiano Ronaldo - agreeing to break bread over dinner and a philosophical monologue from Eric Cantona, it turns into an entirely different occasion.
There were clear pangs of absence making the heart grow fonder between Juventus forward Ronaldo and Barcelona's Messi as they shared jokes and laughs sat next to each other.
It was almost difficult to imagine that the two were such great rivals during Ronaldo's nine years at Real Madrid and in the last decade of Ballon d'Or voting for the world's greatest player.
"We have shared the stage 15 years. I don't know if that's happened before - the same two guys on the same stage all the time," Ronaldo said.
"Of course, we have a good relationship. We haven't had dinner together yet, but I hope in the future.
"We had that battle in Spain. I pushed him and he pushed me as well. So it's good to be part of the history of football."
With touching shows of affection like this, who would dare suggest that the pair do not get on?
 
Report
If that impromptu display of nostalgia wasn't enough, Cantona's musings were something else.
The former Manchester Untied and France striker was speaking before the 2019-20 Champions League draw in Monaco, when he was given the Uefa president's award.
Dressed in a flat cap and a red shirt, he began by quoting Shakespeare's King Lear, saying "as flies to wanton boys we are for the gods" before continuing to reference science, war and crime.
The audience, packed with football superstars, watched in stunned silence before sharing puzzled glances as Cantona made his way from the stage before Lucy Bronze and Virgil van Dijk were later named Uefa's players of the year.
Cantona isn't new to philosophical outpourings. In the aftermath of his kung-fu kick on a Crystal Palace fan in 1995, he gave his infamous press conference observation that "when the seagulls follow the trawler, it's because they think sardines will be thrown into the sea".
Never change, Eric. Never change.
 
Cantona's bizarre speech in full
"As flies to wanton boys we are for the gods, they kill us for their sport.
"Soon the science will not only be able to slow down the ageing of the cells, soon the science will fix the cells to the state and so we will become eternal.
"Only accidents, crimes, wars, will still kill us but unfortunately, crimes, wars, will multiply.
"I love football. Thank you."
 
😂😂😂😂😂😂😂 labda ni mke labda ni mtoto wake labda ni kuongezeka umri na pia kujua kwamba he has only few more years to play. Kusema ukweli hata mimi mbali ya uchezaji wake hii positive attitude yake kwenye mtazamo wa maisha ya kila siku nimeipenda sana.

ronaldo amebadilika sana kifikra tofauti na mwanzoni alivyokuwepo real madrid, nimeyapenda sana haya mahojiano.
hotuba ya eric cantona ilikuwa ni bora zaidi kuliko hotuba ya kiongozi mkuu wa mataga
 
Back
Top Bottom