Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 267,478
- 1,091,273
Shabiki mmoja aliandika: “Pochettino hajashinda mechi yoyote tangu Januari. Ameshinda mechi nne tu kati ya 15 za mwisho.”
Za kupotea Binti Mpole. Karibu tena.Merson alisema: “Nadhani Arsenal itashinda mechi kirahisi sana, 4-1. Nadhani itaiweka kwenye hali mbaya Spurs. Spurs ipo kwenye hali mbaya na kama Arsenal ikitulia, basi naamini itafunga mabao kadhaa. Man City ilionyesha dhahiri udhaifu wa Spurs.”
Salama kabisa. Asante japo naweza potea tena maana ligi siachi hahahaZa kupotea Binti Mpole. Karibu tena.