Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Crystal Palace imefanya mazungumzo na Liverpool kuhusu uwezekano wa uhamisho wa mchezaji mwenye umri wa miaka 28 Nathaniel Clyne. The Eagles wanataka raia huyo wa Uingereza ambaye aliichezea Bournemouth kwa mkopo msimu uliopita kuchukua nafais yake Aaron Wan-Bissaka, ambaye alijiunga na Manchester United mwezi June. (Mail on Sunday)
 
Back
Top Bottom