Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,204
- 1,077,376
Kesho nitaamka mapema na kujisopusopu tayari kusubiria shikamoo yako. Hata breakfast sitakula mpaka niipate kwanzaDah! kuanzia kesho ntakuamkia basi...
Kesho nitaamka mapema na kujisopusopu tayari kusubiria shikamoo yako. Hata breakfast sitakula mpaka niipate kwanzaDah! kuanzia kesho ntakuamkia basi...
Hahah! AiseeKipa,mshambualiaji,winga,beki yeye aiseee
Humu kila mtu tajiri ujue
Aaah..alichofanya was totally not ok by any means!No she is just doing her job. Just pray for her, be as nice as you can and excel at your job...
Mmh sio kweli mbona makabwela tupo tuHumu kila mtu tajiri ujue
Niko macho. Siku hizi mambo mengi yananipita. Nimefurahi sana kusikia kuwa nawe unajua vivumishi vya vingunge wa humu. Sikujua kama unajua kuwa bro wangu huyu aka yake ni King. Lakini unajua aliupataje huo uKing?
Kwema lakini bro?Leo uzi umechangamka sana...
Safiii...
King Dave, I salute you Mkatulanya
BroooYeah ikikupendeza maji yenye uzima yatoke kwako tu.
Sisi wakazi wa Mbagala bro. Hatujikani. Masaki Peninsula huwa tunaisikia kwenye Tivii tu...Siyo kweli mbona hata choka mbaya tupo asili ya baba ubaya
Brooo
Kabisa tupogoMmh sio kweli mbona makabwela tupo tu
UKing kaupata hata kabla hamjaanza kuitana ukatulanya wenu; na mpambano wa Messi vs Cr7 haujaanza...Swali chokonozi hili Mkatalunya ni king sababu Messi ni king wa kila mahali nafikiri amelichukua kutoka kwa Messi
GriezmanKwema bro, habari za uzima kumekuchaje huko
Najaribu kuomba maji ya uzima ya kunywa lakini niko na kiu kweli
Swali rahisi. King wa kuzinduliwa ndani na nje ya uzi huu ni nani?ukipata jibu imagine kila mwaka mswati anakula vipya vipya anafungua mwenyewe kifungashio kipyaaaaaaSwali chokonozi hili Mkatalunya ni king sababu Messi ni king wa kila mahali nafikiri amelichukua kutoka kwa Messi
Ulisema kuwa una miaka kadhaa hujaionja chemichemi. Kiu yake sipati picha. Bila shaka Fraggy atakuonjesha hayo maji ya uzima bro...Kwema bro, habari za uzima kumekuchaje huko
Najaribu kuomba maji ya uzima ya kunywa lakini niko na kiu kweli
Sisi wakazi wa Mbagala bro. Hatujikani. Masaki Peninsula huwa tunaisikia kwenye Tivii tu...
Tupo wengi eeSiyo kweli mbona hata choka mbaya tupo asili ya baba ubaya
Mkatalunya kiwango unacho sema hujijui kama unacho au hutaki kujionyesha tu.
hee king kumbe umemfuga mikono yote😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Daah!
#Nakatamkonommoja
#Zipofastahizokuotaweekmojatu
Hahah!