myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,648
- 656,474
Poleni wasafiri. Mfike salama
Sawasawa..Sugua miguu yako kwa kutumia scrub ili kuondoa layer ngumu na iliyokufa ili ubaki na layer laini. Kusugua/exfoliate ngozi ngumu ya kisigino sugua kwa kutumia brush au jiwe maalumu la kusugulia hakikisha unasugua kwa utaratibu kiasi na si kwa nguvu sana ili kukupunguzia maumivu ndiyo ni ngozi ngumu lakini kama layer ngumu ikitoka inabaki delicate skin ambayo ni laini na nyororo!
Hahahaha, vidali vya kuku, vipaja na viapapatio vyake lazima viliwe kamanda.. Bila kupambana vipapatio na vidali utakuwa unavisikia kwenye tivii tu na kubaki kulalama eti "wakubwa wanafaudu"
Vimbaumbau hata vibinuke namna gani hakuna kitu brokutuonesha msambwanda..hii kwa vimbaumbau ina apply kweli?
Huku kila kitu kiko salama. Safari ya maisha inaendelea japo hatujui siku wala saa. Tumshukuru Mungu brocha ukoo hiki bro,ni kama siku hizi vijana wengi unakuta wako na mvii
Salama bro,uzima upo,,habari ya huko bro?familia ina uzima?
😂 😂 😂 😂Kabisa kamanda, huko nyuma sikujua kama kuna likes za malengo hapa, sasa nimeshajua kuna baadhi hapa inabidi tuwamininie likes ikibidi 4 au zaidi kupitia fyekeleo, maana bila hivyo vipapatio havitalika
Dah.. sina kitambi lakini kama yatafanya tufakamie wali na burgers bila kuwaza..yatanywewa kwa madumu haya maji!Yes maji yanapunguza kitambi 😀
Hehehehe
#faililimefikakwajaji
9 August
Ugonjwa wangu huu...Dah.. sina kitambi lakini kama yatafanya tufakamie wali na burgers bila kuwaza..yatanywewa kwa madumu haya maji!