Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,151
- 1,077,217
Jehovah's witnesses wao wana unafuu kidogo katika hii ishu. Wao wanasema kuwa Yesu Akirudi watenda dhambi wote ambao watakuwa hawajaokoka watachomwa moto once and for all na kufa kimoja na watasahaulika milele na milele. Hakuna cha Jehanamu wala moto wa milele kwa sababu Mungu mwenye upendo na Anayejua kila kitu hawezi kutesa watu aliowaumba mwenyewe katika moto milele na milele. Wananivutiaga sana kwenye hii ishu.una mawazo kama yangu, kwanza huwa sielewi naishia tu kuchanganyikiwa na hii kitu inaitwa 'milele'