moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,758
- 690,886
Mzima
Na kwako pia Moudy
Na kwako pia Moudy
Huyu Coco ameshahamia kwenye GOT hayo ya Isidingo hayajui tena!hasa kwenye uhondo wenyewe,coco ake fragaria anatakiwa kuwa mjanja
Abiria chunga mzigo wako
Zanzibar futari yake sio hiyo ya hapo lakini!Futari siyo lazima iwe tambi na mihogo, futari ni chakula chochote kinachoanza kuliwa na mfungaji, haijalishi unakula katles, smbusa, makande au tende.
Kwahiyo hata kipande cha samaki chaza na kachumbali chaweza kuwa futari madam
Hizo fikra bado kama miaka kumi ijayo ndio tutawezaBongo bwana ..tungekuwa issue zote tunakomalia hivihivi tungekuwa mbali..
Hivi Recycling kwanini haijaanza mpaka leo?
mtemi ameongea
Lothar Matthaus on Manchester United:
"Players are not working well for them. They make a good salary, ‘everything is okay for me’, but then they have to show that quality in the team - not only for themselves. Players take United for a lot of money, and what they give back, this is not enough.”
Hata maji yanafaa kuwa futari kwa maana ftar ni chochote unachofungulia kinywa baada ya jua kuzama yaani kuingia swala ya maghrib.Futari siyo lazima iwe tambi na mihogo, futari ni chakula chochote kinachoanza kuliwa na mfungaji, haijalishi unakula katles, smbusa, makande au tende.
Kwahiyo hata kipande cha samaki chaza na kachumbali chaweza kuwa futari madam
Hakupona. Magari haya hatari sana. Ni huyo dogo hapo juu. Apumzike kwa amani