Mchepuko huo incase JF anazenguaView attachment 1099119 TBT Bradha nae ndani 😂😂
Mkuu mwezi mtukufu huu
Hahah! Nywila mnazo lakini au ndio mtaanza kua New villagers tena?Mchepuko huo incase JF anazengua
Mimi zangu ninazo, huwa napasha kiporo, hahahahahHahah! Nywila mnazo lakini au ndio mtaanza kua New villagers tena?
Hahah! Mimi ndio nimekipasha leo bhanaMimi zangu ninazo, huwa napasha kiporo, hahahahah
Wewe ndiye burudani ya ubongo wangu...Ee mjukuu wangu mie mbibi kabisaaauwe unasalimia basi
Kweli kabisa
Wewe ndiye burudani ya ubongo wangu...
Ahsante sana kwa uwepo wako ankoo
Endelea na mjukuu wako napumzika kidogoView attachment 1099221
Bradha nimeenda fasta nione unachojutia mbona hujaandika?Ni kosa gani ambalo utalijutia maisha yako yote?
Katika maisha yako huenda kuna kosa moja ulilotenda ambalo unajutia kulifanya na kama ungepewa nafasi usingerudia tena. Mimi katika maisha yangu kosa kubwa nililotenda na ambalo nitalijutia katika maisha yangu yote ni kuchelewa kuanza shule. Nimeanza darasa la kwanza nikiwa na umri wa miaka 12...www.jamiiforums.com