mimi tenaKwahiyo ningendako ajitahidi kumudu misambwanda
Hahahah eti too skinny. Hawa wembamba wapo kasi balaa majimama yanawapenda acha tuUkiona hivyo likely ni too skinny maandaeitini wanaogopa kuuliwa when the going gets tough.
Halafu nitapenda kuona solusheni yao wakioa vimbaumbau halafu huko mbele ya safari baada ya kupata watoto na misukosuko ya maisha vimbau vinenepeane na kufumuka misambwanda na nyama kila kona. Sijui ndo watatembeza talaka au sijui itakuwaje
Kuna baba mmoja aliniambia waifu anavyonenepa anavyozaa na waume zao ndio wanadapt kupenda minofu.. It is natureAaa wapi. Mi tangu najifunza udereva nikiwa andaeitini ni masemi trela tu. Nilijaribu kuendesha kiCorolla JKT kidogo nipate ajali. Hovyo kabisa...
Hahaha yale makofidensi ya ankoo ni hatari aisee
Wembamba wengine afya mgogoro...akikutana na lori kabisa lile lenyewe na lina shehena ya kutosha mbona front page kwa Shigongo inamhusu?Hahahah eti too skinny. Hawa wembamba wapo kasi balaa majimama yanawapenda acha tu
Ila kuendesha lori nacho kipaji adimu sana
JamanHahahah eti too skinny. Hawa wembamba wapo kasi balaa majimama yanawapenda acha tu
Ila kuendesha lori nacho kipaji adimu sana
Hahahah aisee,nakuona bro unapambania sekta yakoWembamba wengine afya mgogoro...akikutana na lori kabisa lile lenyewe na lina shehena ya kutosha mbona front page kwa Shigongo inamhusu?
Aaah bro acha kutisha sana mtu kama yego atabaki mgumu milele. Ninge pita kama hujaisoma post ya bro,wewe paramia tu tusije kosa ubuyu kwa shingongoWembamba wengine afya mgogoro...akikutana na lori kabisa lile lenyewe na lina shehena ya kutosha mbona front page kwa Shigongo inamhusu?