Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,369
- 205,759
Hahah mixer vifungu kabisa
Lakini..
22 Dhambi zake zote hazitakumbukwa kwa Mola wake na sio kwa wanadamu na walimwengu wenzake
Hahah mixer vifungu kabisa
Asante sanaNami nawatakia sikukuu njema ya Pasaka kwa woote
Sasa hata binadamu wakizikumbuka ina athari gani bro kama Mungu Ameshazisahau? Na wenyewe si wana madhambi tu mengi ya kuzinduliwa non stop; na mengineyo?Hahah mixer vifungu kabisa
Lakini..
22 Dhambi zake zote hazitakumbukwa kwa Mola wake na sio kwa wanadamu na walimwengu wenzake
Grace Matata.Nyakati za Mashaka
Kwani ata Mungu asipozisahau bado kwa wanadamu itakua na athari gani bro? Hapa issue ni kumbu kumbu uliyotuachia tu itatusaidia kujua umetoka/tumetoka wapi na wapi u/tunaenda 😁😁Sasa hata binadamu wakizikumbuka ina athari gani bro kama Mungu Ameshazisahau? Na wenyewe si wana madhambi tu mengi ya kuzinduliwa non stop; na mengineyo?
I rest my case bro...
View attachment 1077433
Hakika mkuuGrace Matata.