Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Naelewa sana bro. Hawa ndo wale anakufuma redi hendedi upo kifuani unapambana kutetea heshima ya ukoo halafu hazui valangati wala nini. Baada ya hapo hata akikupikia chakula inabidi uchepuke kwanza ukampe paka tonge la kwanza uone kama atasavaivu...
bro ukifanyiwa hvyo utataseka mwenyew,hutakuwa na aman hata kidogo,,yaan anakuacha unateseka mwenyew ww kutwa nzima uko na maswali mengi unajiuliza mbona hata hajamind,sijaitwa maneno mabovu mabovu,,,kumbe mwenzio amekusave tu,,,lazima ukonde,,,watu wa namna hii huwa hatari sana,maana hujui anafikiria nn juu yako...
 
kwa hiyo bro ni bora hawa hawa rangi zetu,ambao tunajuana na kusomana matendo yetu A-Z,,ukipigwa kibuti unajua urud na style gani ili msuruhishe na muanze upya tena.

Hii pia ni shida,Miller alikuwa amezimika mzima mzima kabsa,jamaa aliferi kwa hilo..
Mtu kama Esta ndiyo poa. Unamtibua unakula zako za uso unakwenda kuugulizia maumivu yako huko halafu mnakwenda sawa. Wakimya hawa ni chalenji sana bro...inabidi uwe mvumilivu sana
 
Ona Mzungu alivoshangilia gori la simba lilowapa usindi dhidi ya al ahaly alilofinga. Kagere leo.



Ona gori la simba lilowapa usindi dhidi ya al ahaly leo.



Weka ulinzi wa fingerprint kwenye simu yako hata kama haina hiki kipengere.... Link ya video hiyo hii hapa chini



Njia rahisi ya haraka kufanya simu yako iwe fasta na nyepesi hata inaganga ganda ovyo

Link yake hii hapa chini itazame



Namna ya kuzuia mtu asisome sms zako wala kuona video na picha ktk simu yako bila idhini yako... Video yake itazame kwenye hii link hapa chini



Jinsi ya kuifanya cm yako isijae haraka hata kama ina nafasi ndogo sana. Itazame hapo chini kwenye link yake hii hapa chini itazame





Video za mwanzo ulizozikosa kuzitazama ktk chanel yetu... Zitazame sasa kumbuka kusubcribe....

Fahamu Matumizi ya Dawa za Hospitalini kwa kutumia simu yako




Ujue WhatsApp mpya ya 2019 ya kisasa na kijanja zaidi iko kama Instagram vile.



Jinsi ya kuifanya cm. Yako iwe kama computer... Link yake hii hapa itazame leo



Jinsi ya kuifanya cm yako iwe kama na future kama za iPhone link yake hii hapa chini



Jinsi ya kutazama video za YouTube ukiwa WhatsApp bila. Kutoka link hii hapa



Jinsi ya kuongeza saut ya simu yako iwe kubwa kama SUWBOOFER hata kama simu ina sauti ndogo sana.. Link yake hii hapa chini



Jinsi ya kufanya kuzuia mtu yoyote kwenye group aliweze kubadili jina wala picha au icon ya group bila idbini yako.. Link yake hii hapa chini itazame



Ifanye simu yako iwe na kipengere au future kama ya IPhone hata kama ni ya tecno...link ya video hii hii hapa chini utazame



Njia ya rahisi na haraka ya kudodownload picha na video Instagram... link yake hii hapa chini itazame

Njia mpya, haraka na rahisi kudownload video na picha Instagram.

Njia mpya rahisi naya haraka ya kudodownload Video youtube hii hapa link yake itazame

Njia rahisi na ya haraka kudodownload Video youtube.

Njia rahisi na nyepesi ya kuzuia simu yako isijidownload video na picha WhatsApp mpka ww uzi download.. Itazame video hii hapa kwenye link hapa chini

Ona. Mzungu alivoshangilia gori la simba lilowapa usindi dhidi ya al ahaly..

Ona Mzungu alivoshangilia gori la simba lilofungwa na kagere dhidi ya al ahaly leo.

Njia rahisi na nyepesi za kuzuia picha na video kujidownload zenyewe WhatsApp.
Mkuu; hata kama ni kutangaza channel yako hutampata mtu kwa njia hii. Ni Advertising 101. Usimrundikie mtangaziwa matangazo mengi namna hii. Tafuta interest yake ilipo kulingana na wakati na mazingira aliyomo halafu umkamate hapo. Kwa leo video hizo mbili za Simba zingetosha. Haya mengine yooote uliyoongezea ni turn off na kukimbiza watu. Nina kijitabu hapa kinatoa mbinu 500 za kutumia katika effective advertising kama unakitaka sema nikutumie.
 
455922176_22149.jpeg
 
Back
Top Bottom