Nikitiwa iginoa listi na binti mpole kama consuela aisee nahama JF mazima kwenda kufanya soul searching na kutathmini baadhi ya misimamo yangu kuhusu maisha, maingiliano na watu na utani...Hakika consuela anafaa kuwa alicia keys,,,huwa hana maneno mengi,,juzi kati kasema anaweza kukutia iginoo listi na usiamini
RIP the legend...
Ariana hakuwepo,ila aliondoka na tunzo moja,,,sema kutokuwepo kwake labda alijistukia maana wazaz wa Miller walikuwepo,na toka jamaa afariki tuhuma nying anapewa Ariana..Ana bahati ka- ex (kaAriana Grande) hakakuwepo
bro bhana,hawa mabinti wapole ni kwenda nao polepole,unaweza pewa iginolist ya kimya kimyaNikitiwa iginoa listi na binti mpole kama consuela aisee nahama JF mazima kwenda kufanya soul searching na kutathmini baadhi ya misimamo yangu kuhusu maisha, maingiliano na watu na utani...
Yeah! Anasingizia eti alikuwa na mzozo kuhusu wimbo aliotakiwa kuupiga siku hiyo. Inaonekana marehemu alimpenda sana huyu binti na alipomtema ndiyo ikawa downhill. Alikuwa kwenye show ya Ridiculousness kabla ya kufariki alisema kuwa anammisi sana Ariana. Ila wenzetu hawa akishakutema hata uombe msamaha namna gani kama huko aliko anapigwa mjurubeng wa kuridhisha basi hakuna kitu. Wanaweza kuwa wakatili sana. Sasa ni majuto !!!Ariana hakuwepo,ila aliondoka na tunzo moja,,,sema kutokuwepo kwake labda alijistukia maana wazaz wa Miller walikuwepo,na toka jamaa afariki tuhuma nying anapewa Ariana..
Naelewa sana bro. Hawa ndo wale anakufuma redi hendedi upo kifuani unapambana kutetea heshima ya ukoo halafu hazui valangati wala nini. Baada ya hapo hata akikupikia chakula inabidi uchepuke kwanza ukampe paka tonge la kwanza uone kama atasavaivu...bro bhana,hawa mabinti wapole ni kwenda nao polepole,unaweza pewa iginolist ya kimya kimya
kwa hiyo bro ni bora hawa hawa rangi zetu,ambao tunajuana na kusomana matendo yetu A-Z,,ukipigwa kibuti unajua urud na style gani ili msuruhishe na muanze upya tena.Yeah! Anasingizia eti alikuwa na mzozo kuhusu wimbo aliotakiwa kuupiga siku hiyo. Inaonekana marehemu alimpenda sana huyu binti na alipomtema ndiyo ikawa downhill. Alikuwa kwenye show ya Ridiculousness kabla ya kufariki alisema kuwa anammisi sana Ariana. Ila wenzetu hawa akishakutema hata uombe msamaha namna gani kama huko aliko anapigwa mjurubeng wa kuridhisha basi hakuna kitu. Wanaweza kuwa wakatili sana. Sasa ni majuto !!!