Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Lmfao
tapatalk_1547224943298.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malikia Elizabeth II hana haja ya kuwa na pasipoti kwasababu ni yeye anatoa idhini kwa watu wake wote kuwa na kuwa na stakabadhi hiyo muhimu ya usafiri duniani
Hata hivyo ana pasipoti ya stakabadhi zake zingine za siri.
Watumishi wa Malkia ndio wanaosimamia stakabadhi hizoza siri na kila moja ina pasipoti yake.
Inadaia kuwa kuna pasipoti 15 pekee za aina hiyo ambazo zinatumika.
Mungu kama kawa pale ukutani Aamen .... hahaaa nilicheka dahh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom