hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Limalaya tu hili. Ukijitutumua unakula tu
Wapi huko mkuuNimeona kule MMU kuna manzi ana kulilia umoe ...watu mna nyota zenu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Si yule ulimsifia wife material mwishoni mwa mwaka
Nope ni chitchat ..kwenye uzi wa dreka ..post #32 ...usijifanye haujaona aisee ... au kuna shemeji nini humu ..so naunguza picture!?Wapi huko mkuu
Si yule ulimsifia wife material mwishoni mwa mwaka
Space Bound
Mungu kama kawa pale ukutani Aamen .... hahaaa nilicheka dahhMalikia Elizabeth II hana haja ya kuwa na pasipoti kwasababu ni yeye anatoa idhini kwa watu wake wote kuwa na kuwa na stakabadhi hiyo muhimu ya usafiri duniani
Hata hivyo ana pasipoti ya stakabadhi zake zingine za siri.
Watumishi wa Malkia ndio wanaosimamia stakabadhi hizoza siri na kila moja ina pasipoti yake.
Inadaia kuwa kuna pasipoti 15 pekee za aina hiyo ambazo zinatumika.
Hahaa sijamaanisha hivyo mkuu
Aina shida chief next time nitasahau
Amna chief sijaona kweli ngoja niendeNope ni chitchat ..kwenye uzi wa dreka ..post #32 ...usijifanye haujaona aisee ... au kuna shemeji nini humu ..so naunguza picture!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anavyokwambia hivyo na ukifikiria unaona kama haiwezekani vile
Duhh nitajifanya kama sijaelewa hahaaaAnavyokwambia hivyo na ukifikiria unaona kama haiwezekani vile
Till I collapse