Huyo binti Mkuu alikuwa wa kawaida sana miaka michache tu iliyopita lakini juhudi zake kwenye mazoezi na kula vizuri zimemsaidia ameweza kujenga umbo la kuvutia sana na bado hajachoka anaendelea na juhudi zake za kwenda Gym kwa masaa kadhaa kila siku iendayo kwa Mungu na wala kisu (plastic surgery) hakijamgusa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.