Dr Louis
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 442
- 421
Haya si ndiyo yanatumika saizi hapo kwenye mwendo kasi?
Haya si ndiyo yanatumika saizi hapo kwenye mwendo kasi?
Hivyo vyote sisi bado tunavyoKama unayo picha yoyote ya zamani maarufu tupia humu ITAPENDEZA ZAIDI
Ila diana rose ana macho na sauti mi na uzee wake ila nampenda kinyama
Hata kwetu ipo
Na kweli imekosewa1972? Kuna ukakasi hapa.
Nimejaribu kuangalia sehemu mbalimbali nimekuta kuna mtu ameweka ktk Wikipedia kuwa:
Kinana served in the Tanzanian armed forces for 20 years before retiring as a Colonel in 1972.
Kwa hiyo aliingia jeshini 1952 !?
Na kweli imekosewa
Yah Ross very cute aiseeKabisa, anawakilisha maana ya uzuri.
Pia ni Ross, si Rose.
Haya matoleo yalikuwa na camera kali sana
Hapo huenda anamuambia jamaa nitakuja kuwa Rais
Mwaka 1972 hadi leo ni miaka 45A Kinana alistaafu mwaka 1972 akiwa na cheo cha Colonel
Hujakosea ni wrong information sorryMwaka 1972 hadi leo ni miaka 45
Chukulia kinana alistaafu akiwa na miaka 35 hivi sasa atakuwa na miaka 80 mhhhh hesabu bado zinakataa kabisa.
Ni mtizamo wangu tu mkuu
Japo ni kweli alistaafu na cheo cha ukanali ila mwaka ndo namashaka nao
Dont worry boss wanguHujakosea ni wrong information sorry
Kwani alikuwa kwenye vita ya Uganda
My mistake