kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Sasa atacheza lini kwa Alba?Mi sio chelsea ila kumwacha Marco Alonso sio poa.
Sasa atacheza lini kwa Alba?Mi sio chelsea ila kumwacha Marco Alonso sio poa.
Kwa kioungo ya Lucas biglia poleni sanaHii attacking line ni ya kawaida sana. Hapo kati ndio wapo vizuri. Hapa alitakiwa Morata sababu yeye ni cleanical finisher. Natural no 10.
Shauri yao. Sie TeamArgentina tupo full masinonda.
Kwani hao makipa watacheza lini kwa De gea.?.. Au umepitiwa kidogo.Sasa atacheza lini kwa Alba?
sana mkuuMmejipanga?
Poa ndugu mimi Mgermany nakutakia kila laherisana mkuu
nawe pia bro ila tukikutana km kawa nadhan unaifahamu vzuri historia yetu mi nawePoa ndugu mimi Mgermany nakutakia kila laheri
Waliopigwa chini ni hao tu au unataja wa club yako unayoshabikia?Goalkeepers: David de Gea, Pepe Reina, Kepa Arrizabalaga
Defenders: Dani Carvajal, Alvaro Odriozola, Gerard Piqué, Sergio Ramos, Nacho, Cesar Azpilicueta, Jordi Alba, Nacho Monreal
Midfielders: Sergio Busquets, Saul, Koke, Thiago Alcantara, Andres Iniesta, David Silva
Forwards: Isco, Marco Asensio, Lucas Vazquez, Iago Aspas, Rodrigo, Diego Costa
tukutane hapa
Marcos alonso,faby,morata wamepigwa chini
Ni maajabu ya dunia unamuacha Naija unabeba NyoshiMartinez ameukosea Heshima mpira Mkubwa Fela Feillaini kaitwa Naingollan Ninja kamuacha
Hahah!! Tulia tuone wewenawe pia bro ila tukikutana km kawa nadhan unaifahamu vzuri historia yetu mi nawe
Nafikiri unaota ukiwa uchi maana sijaona Kiungo ya kutusumbua hapo katiHakuna timu humo....Hiko kikosi ni kama kile cha Brazil kilichopigwa 7.