Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Dondosha nyuzi mkuu, nimeanza kusoma nikamkumbuka 'khumbu' wa J'burg! 😂
Duh, kumbe... mimi huyoo! 🏃🏾 🏃🏾 🏃🏾 😂Umetuchomesha mahindi kule kwente story yako nyingine. Hufai kabisa
Tuliliona hili mapema Sasa angalia huu Uzi na ule mwingine huku wale Malaya hawapoHzo stori za kuanzia mwishoni nakumalizia mwanzo huwa zinaishia katikati.
Mpaka Sasa hajatoa changamoto yoyote Zaid yakuwa Sex Machine S.A
Naona watu mmemkasirikia mhadithiaji.Umetuchomesha mahindi kule kwente story yako nyingine. Hufai kabisa
me nlishangaa jamaa jinsi anvyoielezea SA kama anaielezea buzauongo uongo sio mzuri...ndo maana konda msafi alikuwa na doubt naye!!sasa hii maana ake nn
Hahahah.....!!Mwana anaielezea Joburg Kama anakatiza tandika kwa wahayame nlishangaa jamaa jinsi anvyoielezea SA kama anaielezea buza
Mpeni muda wakuu. Huenda ana maelezo ya kuridhisha.😂😂😂 uongo uongo sio mzuri...ndo maana konda msafi alikuwa na doubt naye!!sasa hii maana ake nn
Ili chimbo naliskia sana.. itabd nilitafute nikasign aiseHahahah.....!!Mwana anaielezea Joburg Kama anakatiza tandika kwa wahaya
Mwaka 2018ilikuwa mara ya mwisho kuzama Huko....nilikula toto la kienyeji+kihaya maji km yote ad morning....wako Safi bei zao ni 'negotiable'(sijui km nimepatia kiingereza)Ili chimbo naliskia sana.. itabd nilitafute nikasign aise
Hata sielewi kinachoendelea humu jukwaami.
Ukijuw story yako ya uongo maliza fasta kabla watu hawaja kushtukia ikiwa kama hivi ni aibu na fedheha !.