Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Wakubwa nimependelea kuanzisha uzi huu maalum utakao toa bei za vio vya simu pamoja na Protector.
Itasaidia kujua gharama halisi ya vioo hivi kwa kupata miongozo kutoka kwa wataalam wetu tulio nao katika kijiji chetu hiki pendwa cha Jf.
Kwani kumekuwa na udanganyifu wa mafundi wetu mtaani kujiropokea gharama yoyote kulingana na mtazamo wa fundi kwenda kwa mteja wake.
Nikianza na mimi simu yangu Sumsung A 12 kioo Complete nimeambiwa 170k.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Itasaidia kujua gharama halisi ya vioo hivi kwa kupata miongozo kutoka kwa wataalam wetu tulio nao katika kijiji chetu hiki pendwa cha Jf.
Kwani kumekuwa na udanganyifu wa mafundi wetu mtaani kujiropokea gharama yoyote kulingana na mtazamo wa fundi kwenda kwa mteja wake.
Nikianza na mimi simu yangu Sumsung A 12 kioo Complete nimeambiwa 170k.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app