Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Niliwahi kuchaniwa begi na wanafunzi wenzangu hostel,wakaniibia tsh 30000 na saa flan ya mkononi nilinunuaga elf 2 tu kariakoo....sasa kila ninae muuliza anakataa hajachukua..na hostel tunakaa wanne tu...lakin katika hao wanne mmoja wapo hakuenda chuo siku nzima...hivo hostel tulimuacha yeye...
Na wakati nagundua huo wizi yeye hakuwepo hostel na siku hiyo alichelewa san kurudi..sijui ndio alienda club...alvorudi tukamvamia na kumbananisha sana lakini akagoma
Basi tukashauriana kwenda kwa mganga asubuh...tukatoka nje tukatafuta ya mabango yao na kuchukua namba.akapokea mganga akatuelekeza ofis yake ilipo...tukamfwata...ilikuwa mitaa ya ubungo maziwa huko ndani ndani..
Kufika kule akatuambia tuandike majina yetu,tukaandka akaanza makalatee yake..amejufunika gubgubi anaongea ongea kichina sijui kile...baadaye akasema haya..chukua hii dawa ya kwanza nenda kaweke kwenye lile begi ambalo pesa zimepotea...asubuh mwizi wako jina lake litatokea kwenye hii karatasi..nikasema poa..
Hii ya pili ndio muhimu..hiyo asubuh utaenda kuoga nayo, yaan changanya kwenye maji ya kuoga kisha urudi hapa peke ako na hilo karatasi la majina ili uchague sasa tumuadhibu au arudishe mali yako,lakini leo inatakiwa ya mizimu tsh 25000.Nikasema poa.. Nikampa
Wakati tunatoka akasema kesho utavokuja uje elfu 30...kwa ajili ya kumaliza dawa nahakikisha unajuja peke yako...saa 4 asbuh...na sasa hiv msizungumze chochote mpka mfike njia panda.
Nikasema poa..sasa wakat tunaondoka kimoyoni nikawaza nimeibiwa 30000 na saa tu..lakini hapa kwa mganga itatumika kama 55000 hiv tena na nauli wote nilikuwa nalipa mm...
Dah nilijiona boya kweli...nikaitupa ile dawa na kalatasi mitaa ile ile nikasema kama majin yakimaind poa tu...skuenda tena..wala hiyo asubuh hmna lolote lilitokea...na hakuna alimuuliza mwenzake mpka leo...waganga ni nouma
Na wakati nagundua huo wizi yeye hakuwepo hostel na siku hiyo alichelewa san kurudi..sijui ndio alienda club...alvorudi tukamvamia na kumbananisha sana lakini akagoma
Basi tukashauriana kwenda kwa mganga asubuh...tukatoka nje tukatafuta ya mabango yao na kuchukua namba.akapokea mganga akatuelekeza ofis yake ilipo...tukamfwata...ilikuwa mitaa ya ubungo maziwa huko ndani ndani..
Kufika kule akatuambia tuandike majina yetu,tukaandka akaanza makalatee yake..amejufunika gubgubi anaongea ongea kichina sijui kile...baadaye akasema haya..chukua hii dawa ya kwanza nenda kaweke kwenye lile begi ambalo pesa zimepotea...asubuh mwizi wako jina lake litatokea kwenye hii karatasi..nikasema poa..
Hii ya pili ndio muhimu..hiyo asubuh utaenda kuoga nayo, yaan changanya kwenye maji ya kuoga kisha urudi hapa peke ako na hilo karatasi la majina ili uchague sasa tumuadhibu au arudishe mali yako,lakini leo inatakiwa ya mizimu tsh 25000.Nikasema poa.. Nikampa
Wakati tunatoka akasema kesho utavokuja uje elfu 30...kwa ajili ya kumaliza dawa nahakikisha unajuja peke yako...saa 4 asbuh...na sasa hiv msizungumze chochote mpka mfike njia panda.
Nikasema poa..sasa wakat tunaondoka kimoyoni nikawaza nimeibiwa 30000 na saa tu..lakini hapa kwa mganga itatumika kama 55000 hiv tena na nauli wote nilikuwa nalipa mm...
Dah nilijiona boya kweli...nikaitupa ile dawa na kalatasi mitaa ile ile nikasema kama majin yakimaind poa tu...skuenda tena..wala hiyo asubuh hmna lolote lilitokea...na hakuna alimuuliza mwenzake mpka leo...waganga ni nouma