Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,842
- 20,687
Akili kichwani.Ina maana hakuna kijiji Tanzania kimepewa hizo hela kutokana na kutowaamini viongozi wa serikali za mitaa?
Akili kichwani.Ina maana hakuna kijiji Tanzania kimepewa hizo hela kutokana na kutowaamini viongozi wa serikali za mitaa?
Hapa walijiachanganya, haiwezekani nyumbani baba unadaiwa ada ya shule halafu namwambia mtoto kwamba hatopata msosi wa siku mbili kisa unalipia ada ya shule. Ni jukumu lako kuakikisha watoto wako wanakula na kuvaa na kwenda shule na si kuanza kusema eti fedha tumepeleka kule kununulia mbuzi.“Kupanga ni kuchagua ndio maana wengine walikuwa wananiambia uliahidi milioni 50, 50 kwa kila kijiji ni kweli tuliahidi lakini nilipoingia huku nilikuta mambo yako mengi ambayo yanaweza yakazaa hiyo milioni 50, 50, ukitengeneza treni, reli ya kutoka Dar es salaam mpaka Mwanza kutoka tu Dodoma zimechukuliwa Trilioni 7 tungezigawa hizo Trilioni kwa vijiji vyote si tungekuwa tushamaliza,” - Rais Magufuli.
Tukiri tu kuwa kuiongoza nchi ni kazi sana. Unakabidhiwa ofisi lakini unakuta hali ni tofauti na matarajio yako.Hapa walijiachanganya, haiwezekani nyumbani baba unadaiwa ada ya shule halafu namwambia mtoto kwamba hatopata msosi wa siku mbili kisa unalipia ada ya shule. Ni jukumu lako kuakikisha watoto wako wanakula na kuvaa na kwenda shule na si kuanza kusema eti fedha tumepeleka kule kununulia mbuzi.
Magu alisema zimegaiwa "indirect" kwa kujenga zahanati, Wanafunzi kusoma bure n.k.Leteni orodha ya vijiji. Kijiji au mtaa wako umepata milioni ngapi?
Kwenye ahadi zake haikuwa kwa mfumo huoMagu alisema zimegaiwa "indirect" kwa kujenga zahanati, Wanafunzi kusoma bure n.k.
Aliyasema hayo baada ya kusikia kelele nyingi kutoka kwa wanavijiji na kuamua kuwazuga kwa kauli hiyo.
Mimi kadhalikaHata Mia sijaona