bunyebunye
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 530
- 676
mkuu mbona wewe sio mkweli!!!!!! iweje uwe na groups za machozi ukose hata dollar 5per day...??!! kama kweli una zile groups za machozi ya simba, hauwezi kukosa dollar kuanzia 30$ ++ per day, nina uhakika ninachosema labda hujui ku-share na kuandika habari zenye impact ..
Sawa mkuu! Nimekuelewa