Uzi maalum kwa wauzaji wa vifaa vya simu

Habarini wadau!
Hivi maduka ya jumla ya vifaa vya simu yanapatikana wapi kwa pale kkoo?
Nina mpango nimuanzishie duka la vifaa vya simu mke wangu.
 
Asante ndugu

Bei za jumla zinafuatana

Maana kila siku kuna toleo jipya

Kwa mfano makava huwa yana uzwa kulingana na fashion yake na kwa wakati Fulani

Ukija chaji ninavyo jua Mimi kuna za kuanzia (1000 mpaka 2000) hizi ni kwa chaji za chini kabiasa

Hizi ni bei za jumla bei ya kuuzia utangalia wewe

Ukija chaji zinazo fauatia hapo zinaanzia (2500 mpaka 5000)

Hizi ni bei za jumla kuuza utachagua wewe

Zipo chaji mpaka za kuanzia (8000 mpaka 15000)

Hizi ni bei za jumla kuuzia uaangalia wewe

Earphones bei ya jumla inaanzia (1000 mpaka 1500)

Na zingne zinaanzia (2000mpka 5000)

Bettery za kawaida zinaanzia 1000 mpaka 2000

Bettery olginal zinaanzia 5000 na kuendelea

Hizi bei nimetaja kwa mtu unae anza ila kama umekamilika

Utaongeza na vingne zaidi
Namba yako pls ni chek whatsapp 0768317778
 
Garama za usafir andaa dola 2000+

Mtaji unaweza anza na mil. 15

Ila ukitaka upate faida kutokana na kufata mzigo China.

Jitahidi kuepuka kutumia bandari yetu hii

Pale mzigo unaeza fika mapema kisha ukapigwa kalenda kibao ili mradi tu wapate kukuchaji ada zao za kihuni.

Nowdays,
Nmeamua kutumia Ndege maana ni uhakika zaidi na haraka sana kibiashara.
Na mzigo ukishafika airport, hakuna longo longo ni fasta fasta kuchukua chako na kusepa.
Mkuu hio mil15 ni pamoja na mtaji na nauli ya go an return?,na je hapo utapata faida kweli?
 
Karibuni nauza vifaa vya simu na computer kwa Bei ya jumla na rejareja karibuni mno
0656804462 getrude
Kkoo mtaa wa agrey na likoma
IMG_20200629_231948_300.jpg
IMG_20200629_231948_299.jpg
IMG_20200629_231948_305.jpg
IMG-20200628-WA0032.jpg
IMG_20200630_210139_417.jpg
IMG-20200630-WA0003.jpg


Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Heee wanabody huu uzi vp,mbona kimya!?
wadau tupieni bidhaa mpya humu kama zipo,makava,aerphones,cover,memory n.k.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom