watu hawa wana tabia zifuatazo
1. hawapendi kuongea sana na akiongea anauhakika wa jambo
2. hawapendi kujichanya sana
3. ni wazuri sana katika kushauri
4. wabunifu
5. wanatafakari kwa kina sana
6 km ulibahatika kusoma na mtu wa hvo basi lazma alikuwa anashika namba za mwanzoni darasani
7. wana IQ kubwa wengi wao
8. hawapendi kuongozwa,
9. hawapendi sifa n.k
1. hawapendi kuongea sana na akiongea anauhakika wa jambo
2. hawapendi kujichanya sana
3. ni wazuri sana katika kushauri
4. wabunifu
5. wanatafakari kwa kina sana
6 km ulibahatika kusoma na mtu wa hvo basi lazma alikuwa anashika namba za mwanzoni darasani
7. wana IQ kubwa wengi wao
8. hawapendi kuongozwa,
9. hawapendi sifa n.k