Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
kuna kozi moja nlienda nakumbuka siitaji kwa jina,nilipigwa nua pale ambapo nilidoji mabio na kutembezwa mugongo mugongO kwenye mtaro wa makoko ya ugali na maharage baada ya hapo kiroho safi unaendelea na vipindi vingine.
siku ingine nakumbuka kuna kigodoro nilikuwa nalalia kina vipande vitatu vya godoro aisee yani unaviunganisha kisha unalalia(kwwnye sakafu)alafu unene wa vipande hivyo kama ulimi wa bilinass,.ikawa nikilalia hilo godoro kwa kuunganisha vipande.
sasa ukijinyoosha tu vipande vinaachana na ngozi inagusa sakafuni aisee baridi kali unaamka unaviweka sawa.ikawa nikilala sijinyooshi mpaka alfajiri tunakurupushwa.
eleza na wewe yale ambayo uliyapata ambayo ukikumbuka unasema kweli ile hatari
siku ingine nakumbuka kuna kigodoro nilikuwa nalalia kina vipande vitatu vya godoro aisee yani unaviunganisha kisha unalalia(kwwnye sakafu)alafu unene wa vipande hivyo kama ulimi wa bilinass,.ikawa nikilalia hilo godoro kwa kuunganisha vipande.
sasa ukijinyoosha tu vipande vinaachana na ngozi inagusa sakafuni aisee baridi kali unaamka unaviweka sawa.ikawa nikilala sijinyooshi mpaka alfajiri tunakurupushwa.
eleza na wewe yale ambayo uliyapata ambayo ukikumbuka unasema kweli ile hatari