kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 422
Hii mitandao ya kijamii imerahisisha maisha sana, yani unakutana na watu wengi ambao mkielewana mnakuwa jamaa wa karibu kabisa.
Sasa kuna wale ambao tumekutana na Wapenzi wetu mitandaoni, huku bwana hakuhitaji mbwembwe nyingi zaidi ya visalamu na kumuweka mtoto bize na stori nyingi hadi anajaa mwenyewe.
Aidha, pamoja na kukutana nao sio kwamba ni watu wenye tabia mbaya kama inavyosemekana la hasha ni wastaarabu na wanaojua kuishi maisha ya mapenzi kisawasawa.
Wale tuliowapata wapenzi Facebook, Instagram, Twitter ama hapa JF tukutane.
Sasa kuna wale ambao tumekutana na Wapenzi wetu mitandaoni, huku bwana hakuhitaji mbwembwe nyingi zaidi ya visalamu na kumuweka mtoto bize na stori nyingi hadi anajaa mwenyewe.
Aidha, pamoja na kukutana nao sio kwamba ni watu wenye tabia mbaya kama inavyosemekana la hasha ni wastaarabu na wanaojua kuishi maisha ya mapenzi kisawasawa.
Wale tuliowapata wapenzi Facebook, Instagram, Twitter ama hapa JF tukutane.