Uzi kwa tuliowahi na tunaofanya kazi kwa Wahindi tupeane changamoto za mabosi zetu

Jinsi ulivyoandika unaonesha huna cha IT wala u "manager". Hivi mtu wa IT tena wa kusomea "nje" tena "manager" anafanya kazi kwa 250,000 halafu usiku usiku! Halafu hajuwi kuandika "manager" wala "server" wala "issue" (ishu)!

Labda ulikuwa korokoroni tu.

Uharo mwengine muwe mnajifikiria mara mbili mbili kabla hamjaja kuuharisha hadharani.
Oyaa kanjibai punguza jazba basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha wanawaroga sana na uchawi wa kihindi wa Yantra.
Huu uchawi ni nyoko sana. Nimewahi kufanyiwa na mganga wa kihindi kesi nzito sana mamaye tukatoboa.
 
Biblia imeandikwa na Roho Mtakatifu,quran imecopy na kupaste kutoka kwenye Biblia sasa huo ni ufunuo au plagiarism,mtume gani anakuja na mambo yale yale ambayo yalishaelezwa miaka 600 iliyopita,kama ni mpaka hivyo hata mimi naweza nikatunga quran kama mohammad manemuombea kheri kila siku sasa hujanipa andiko hihiihiihiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Lete kutoka biblia kipande hiki kama kweli ni kopi...

42. Na angalia pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa, na akakutukuza kuliko wanawake wote. 42
 
unanichekesha!!, influential kea kuabudu na kubusu masanamu ya makka au , mohammad kawashika akili kweli eti mnamuombea kheri,yaani waumini mnamuombea kheri mtume hihiihiihiii hiiihii

Sent using Jamii Forums mobile app
Michael H. Hart
“My choice of Muhammad to lead the list of the world's most influential persons may surprise some readers and may be questioned by others, but he was the only man in history who was supremely successful on both the religious and secular level.”

― Michael H. Hart, The 100: A Ranking of the Most Influential Persons in History
tags: history, phenpomena, religion, social, truth
 
Michael H. Hart
“My choice of Muhammad to lead the list of the world's most influential persons may surprise some readers and may be questioned by others, but he was the only man in history who was supremely successful on both the religious and secular level.”

― Michael H. Hart, The 100: A Ranking of the Most Influential Persons in History
tags: history, phenpomena, religion, social, truth
kitabu kitu gani hata mimi naweza kuandika, unaijua historia ya huyo mwandishi??, influential kwa kuoa mtoto wa miaka 9 au kukuelekeza uende ukaabudu liwe jiwe jeusi?? eti mnamuombea mtume kheri hihhih hiiiiiiiiiiii, mohammad anawaambia msiwe na janaba,sijui mavi na mikojo ni najisi,sasa bibi faiza nakuuliza mavi yako yakiwa tumboni kabla hujanya hayawi najisi hihihihihiiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete kutoka biblia kipande hiki kama kweli ni kopi...

42. Na angalia pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa, na akakutukuza kuliko wanawake wote. 42
wewe ndo tahira kweli ,sasa kwa nini Maria,si angeandika mambo mapya,kama quran ni ufunuo zingekuja habari mpya kama Biblia ilivyokuja na habari mpya,kabla ya Biblia kulikuwa hakuna anayejua kwamba alikuwepo Adam na Hawa wakala tunda,so quran ije na kitu kipya,nilitegemea quran ije na habari za kina Zainabu,rahma,amina n.k lakini badala yake inakuja tena na habari za marium,sasa marium wa nini Tena wakati mnasema quran ni ufunuo?? unaelewa maana ya ufunuo?? ufunuo ni kitu kipya,sasa nyie mnamnga'ngania na kutuletea tena habari za marium ajabu zaidi marium ndo meanamke pekee aliyetajwa kwa jina kwenye quran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe ndo tahira kweli ,sasa kwa nini Maria,si angeandika mambo mapya,kama quran ni ufunuo zingekuja habari mpya kama Biblia ilivyokuja na habari mpya,kabla ya Biblia kulikuwa hakuna anayejua kwamba alikuwepo Adam na Hawa wakala tunda,so quran ije na kitu kipya,nilitegemea quran ije na habari za kina Zainabu,rahma,amina n.k lakini badala yake inakuja tena na habari za marium,sasa marium wa nini Tena wakati mnasema quran ni ufunuo?? unaelewa maana ya ufunuo?? ufunuo ni kitu kipya,sasa nyie mnamnga'ngania na kutuletea tena habari za marium ajabu zaidi marium ndo meanamke pekee aliyetajwa kwa jina kwenye quran

Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia jina la kupachikiwa tu.
 
Kuna kipindi fulani nipo zangu jijini Dar, natembea kando ya barabara kule maeneo ya upanga. Zilikuwa ni hizi barabara zinazounganisha mitaa. Sasa likanipita school bus la njano limebeba watoto wakihindi tu, mwendo ulikuwa wa wastani tu. Lile bus lilivyonifikia kitoto kimoja cha kihindi kikachungulia dirishani alaf kikanitemea mate, kakaanza kucheka huku bus linaondoka.

Nilitoka speed kulikimbiza, dereva alivyoniona akapunguza mwendo alaf akasimamisha. Kile kitoto nilikiwahi pale pale dirishani, nilikipiga kofi moja matata sana. Kikatoa mlio fulani hivi sijui ni wa kihindi ule au la. Dereva akahamaki na kutaka kushuka, konda wake akamwambia washa gari twende (maana konda aliona alichonifanyia dogo).

Sipendagi dharau.

Sent using Jamii Forums mobile app


Typed Using KIDOLE
 
kitabu kitu gani hata mimi naweza kuandika, unaijua historia ya huyo mwandishi??, influential kwa kuoa mtoto wa miaka 9 au kukuelekeza uende ukaabudu liwe jiwe jeusi?? eti mnamuombea mtume kheri hihhih hiiiiiiiiiiii, mohammad anawaambia msiwe na janaba,sijui mavi na mikojo ni najisi,sasa bibi faiza nakuuliza mavi yako yakiwa tumboni kabla hujanya hayawi najisi hihihihihiiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
“Muhammad has always been standing higher than the Christianity. He does not consider god as a human being and never makes himself equal to God. Muslims worship nothing except God and Muhammad is his Messenger. There is no any mystery and secret in it.”
― Leo Tolstoy
 
Nimeishia Page ya 143! Katikati ninekutana na madini haswaa ya Hawa Gabachori lakini ghafla katokea Sijui wapi mpuuzi mmoja anajiita Faizafoxy afu anaonekana ni Mwanamke, Huyu hana Akili kabisa.


Typed Using KIDOLE
 
“Muhammad has always been standing higher than the Christianity. He does not consider god as a human being and never makes himself equal to God. Muslims worship nothing except God and Muhammad is his Messenger. There is no any mystery and secret in it.”
― Leo Tolstoy
usilinganishe ukristo na vitu vya kipumbavu, uislamu hauna information zozote kuhusu spiritual realm,kumbe waislamu mnamuabudu mohammad pia,nikajua mnaliabudu jiwe la makka peke ake hihi hiiihiiiii hiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nini maana ya neno quran??

Sent using Jamii Forums mobile app

3_58.gif

3:58. Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima. 58
 
Inawezekana kweli coz kuna maneno ya kijerumani yanafanana na kiingereza kasoro vowel "e" wanaweka "i" au "a" whatever the case ...

German translation of 'manager'


manager
[ˈmænɪdʒəʳ ]
NOUN
(business etc.) Geschäftsführer m(Geschäftsführerin) f
[of smaller firm or factory] Betriebsleiter m(Betriebsleiterin) f
[of bank, chain store] Filialleiter m (Filialleiterin)f
[of department] Abteilungsleiter m(Abteilungsleiterin) f
[of estate etc] Verwalter m (Verwalterin) f
(theatre) Intendant m (Intendantin) f
[of hotel] Direktor m (Direktorin) f
[of pop group, boxer etc] Manager m (Managerin)f
[of football team etc] Trainer m (Trainerin) f
sales manager Verkaufsleiter m (Verkaufsleiterin) f
business manager (for theatre) Verwaltungsdirektor m(Verwaltungsdirektorin) f ; [of pop star etc] Manager m (Managerin) f
Copyright © by HarperCollins Publishers. All rights reserved.
 
Back
Top Bottom