kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,935
- 5,426
Oyaa kanjibai punguza jazba basiJinsi ulivyoandika unaonesha huna cha IT wala u "manager". Hivi mtu wa IT tena wa kusomea "nje" tena "manager" anafanya kazi kwa 250,000 halafu usiku usiku! Halafu hajuwi kuandika "manager" wala "server" wala "issue" (ishu)!
Labda ulikuwa korokoroni tu.
Uharo mwengine muwe mnajifikiria mara mbili mbili kabla hamjaja kuuharisha hadharani.
Sent using Jamii Forums mobile app