Uzi kwa ajili ya ujauzito, kujifungua, matunzo ya mama mzazi na kichanga na malezi kwa watoto kwa ujumla

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,428
Wadau nmekuwa nikifikiria sana namna ambavyo tunaweza shirikishana mambo mbalimbali yanayohusu familia kwa ujumla

Tunaweza shirikishana hapa suala la Ujauzito na Changamoto zake. Uzazi na Changamoto zake, Malezi na Changamoto zake.

Tunaweza shikirikishana namna ya Utunzaji wa mama Mjamzito, Kujifungua (Hospital ,Madawa na Vyakula) uleaji wa Mama Mzazi na Pia Uleaji wa Mtoto Mchanga na pia wa kuanzia miezi 6 hadi miaka 10.

Lengo ni kusaidiana na kushauriana. Nmekumbuka hili tena baada ya kupata Changamoto toka kwa mtoto wangu aliponitaka nimtengenezee paper box, paper boat and paper plane.

Nlikumbuka mbali sana maana before mzee wangu alinifundisha vyote hivyo miaka hiyo nakua. Sasa nmesahau na nmejaribu kuuliza kwa watu wengi hata waliozaliwa miaka ya 90 na kuendelea wananambia hawafaham kabisa.
 
Wadau nmekuwa nikifikiria sana namna ambavyo tunaweza shirikishana mambo mbalimbali yanayohusu familia kwa ujumla

Tunaweza shirikishana hapa suala la Ujauzito na Changamoto zake. Uzazi na Changamoto zake, Malezi na Changamoto zake.

Tunaweza shikirikishana namna ya Utunzaji wa mama Mjamzito, Kujifungua (Hospital ,Madawa na Vyakula) uleaji wa Mama Mzazi na Pia Uleaji wa Mtoto Mchanga na pia wa kuanzia miezi 6 hadi miaka 10.

Lengo ni kusaidiana na kushauriana. Nmekumbuka hili tena baada ya kupata Changamoto toka kwa mtoto wangu aliponitaka nimtengenezee paper box, paper boat and paper plane.

Nlikumbuka mbali sana maana before mzee wangu alinifundisha vyote hivyo miaka hiyo nakua. Sasa nmesahau na nmejaribu kuuliza kwa watu wengi hata waliozaliwa miaka ya 90 na kuendelea wananambia hawafaham kabisa.
Uzi safi sana huu ...tupo pamoja mkuu
 
Mkuu, naomba nikupongeze kwanza kwa kupata ujauzito. Na pia napenda nikuunge mkono kwa swala zima la kuonyesha nia ya kutaka kujifunza malezi ya mtoto kuanzia akiwa tumboni hadi atakapo zaliwa.
 
Back
Top Bottom