Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Mchongo
T-SHIRT PRINTING SQUAD
TUNAPRINT T-SHIRT ZA SHULE KWA BEI NAFUU TUNAPATIKANA MOROCCO DAR ES SALAAM WhatsApp 0784214792 au piga 0620431296
°°°°°T-SHIRT ZA ROUND NECK°°
¶T-shirt za Chekechea pamoja na kuprint 4,000/=
¶T-shirt za Primary pamoja na kuprint 5,000/=
¶T-shirt za Secondary pamoja na kuprint 6,000/=
°°°°T-SHIRT ZA KOLA AU FORM SIX°°°°
¶T-shirt za Chekechea pamoja na kuprint 6,000/=
¶T-shirt za primary pamoja na kuprint ni 7,000/=
¶T-shirt za Secondary pamoja na kuprint 8,000/=
NB: Kuprint tunaanzia pc 10
OFA hii itadumu kwa mwez mzima kuanzia 16/11/2021 Hadi 16/12/2021
KARIBUNI SANA
 
Mchongo
T-SHIRT PRINTING SQUAD
TUNAPRINT T-SHIRT ZA SHULE KWA BEI NAFUU TUNAPATIKANA MOROCCO DAR ES SALAAM WhatsApp 0784214792 au piga 0620431296
°°°°°T-SHIRT ZA ROUND NECK°°
¶T-shirt za Chekechea pamoja na kuprint 4,000/=
¶T-shirt za Primary pamoja na kuprint 5,000/=
¶T-shirt za Secondary pamoja na kuprint 6,000/=
°°°°T-SHIRT ZA KOLA AU FORM SIX°°°°
¶T-shirt za Chekechea pamoja na kuprint 6,000/=
¶T-shirt za primary pamoja na kuprint ni 7,000/=
¶T-shirt za Secondary pamoja na kuprint 8,000/=
NB: Kuprint tunaanzia pc 10
OFA hii itadumu kwa mwez mzima kuanzia 16/11/2021 Hadi 16/12/2021
KARIBUNI SANA
Ajira amna tujuzane mkuu
 
HABARI WANA JF MM NI KIJSNA NIMESOMA DIPLOMA YA PHARMACY (PHARM TECH,) NIPO SHINYANGA MJINI NSOMBS MWENYE CONNECTION YA KAZI AU KUNIPA KAZI YOYTE YA KUNIPATIA KIPATO HALALI NAOMBA KUWASILISHA

namba yangu 0718927103
 
HABARI WANA JF MM NI KIJSNA NIMESOMA DIPLOMA YA PHARMACY (PHARM TECH,) NIPO SHINYANGA MJINI NSOMBS MWENYE CONNECTION YA KAZI AU KUNIPA KAZI YOYTE YA KUNIPATIA KIPATO HALALI NAOMBA KUWASILISHA

namba yangu 0718927103
Ni mpharmacia anadiploma ya pharmacy anaomba mchongo wa ajira ndugu zangu

Tupeane michongo.
Tupeane michongi
 
NATAFUTA WATEJA WA KUWAUZIA PWEZA NAUZA PWEZA WA JUMLA
IMG_20211029_095501.jpg
 
Habarini..
Mwenye connection ya kazi ya ukemia(uchenjuaji/mineral processing) kwa geita nipo hapa dada yenu nina uzoefu na uaminifu pia katika kazi,mwenye plant ama connection naomba anisaidie hata kazi nyingine pia naweza kufanya kama kusimamia mradi,shell,storekeeper n.k...Maisha ni magumu bila ajira ndugu zangu naomba tusaidiane..

Asanteni..
I need same connections, ulipata mchongo??
 
Habarini..
Mwenye connection ya kazi ya ukemia(uchenjuaji/mineral processing) kwa geita nipo hapa dada yenu nina uzoefu na uaminifu pia katika kazi,mwenye plant ama connection naomba anisaidie hata kazi nyingine pia naweza kufanya kama kusimamia mradi,shell,storekeeper n.k...Maisha ni magumu bila ajira ndugu zangu naomba tusaidiane..

Asanteni..
Njoo PM, nitumie namba yako nikupigie.
 
Back
Top Bottom