De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
- #121
Wakuu msaada kwa mwenzetuYaani nashindwa kufuta vyeti vya zaman ili niapload vingne sioni sehem ya kufuta kuna edit tu
Wakuu msaada kwa mwenzetuYaani nashindwa kufuta vyeti vya zaman ili niapload vingne sioni sehem ya kufuta kuna edit tu
Bila shaka nahis n tatzo la tovuti husika maana siku za karibuni kuna mtu alijaribu kubadili jina la kozi na haikukubali kabisa..Sioni sehem ya kufuta vyeti naona edit tu kila nikijaribu inazngua cjajua nakosea au
MawasilianoNaitaji kijana mwenye ujuzi wa kuandaa michoro ya 3D asiwe mwajiriwa sehemu yeyote na awe teyari kufanya kazi ktk ofisi yetu.
Kwa manufaa ya wasomaji wa uzi huu..Kazi saidia fundi na kazi zozote za taaluma na zisizo na taaluma napatikana hapa
Location. Dodoma mjini
Amesomea sayansi na teknolojia ya chakula..Wakuu nimesoma sayansi na technolojia ya chakula (foodscience and technology) SUA.Naomba msaada wa kazi,Internship au volunteer (viwandani,taasisi za serikali au binafsi) vile vile kwa wazalishaji wa chakula viwanda vidogo natoa ushauri na kuwawakilisha kama food scientist
Shukran mkuu kwa kujali matatizo yetu nakuhasisha kwenye hii threadAmesomea sayansi na teknolojia ya chakula..
Anahitaji mchongo
Internship
Volunteer
Ajira
Anaomba msaa ili aweze kujikimwamua katika maisha yake pia na kuongeza ujuzi zaidi katika taaluma yake .
Kwa mwenye mchongo bas tumsaidie ndugu yetu
Naamin wenye michongo watafika nawe utakuwa kati ya waliofanikiwa kunifaika na uzi huu.Shukran mkuu kwa kujali matatizo yetu nakuhasisha kwenye hii thread
Ungefafanua unauza karatasi za aina ipi na kwa gharama ipiNatafuta soko la wateja na kuwauzia karatasi aina zote kutoka nchini China... ni useme ni aina gani ya karatasi unahitaji.
Unaweza usiwe na mtaji ila una CONNECTION to connection ukafanikisha biashara ifanyike. Maana una percent yako ni biashara endelevu.
Uaminifu ni kitu cha kwanza janja janja hakuna. Uaminifu ni mtaji.
Tupeane michongoHabari zenu wakuu, mimi kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina Astashahada ya information and communication technology ( 4.19 GPA) niliyo chukua 2018 SAUTI MBEYA, niko vzr katika maswala ya computer maintenance and troubleshooting kwa software na hardware ... pia networking nimejifua mwenyewe kwa msaada wa ofisi ya RC ambayo nipo kama volunteer ( japo silipwi chochote ).. pia nipo familia na markup languages HTML na CSS.. Java script kidogo. Nna shida ya ajira yoyote halali, pia ata kama ni internship au volunteer lakini niwe napata chochote ili iniokoe na njaa.. nipo Sumbawanga.
#Tusaidianane
#TupeaneMichongo
Asanteni
Naam atakuja kukupa majibu zaidi..Ungefafanua unauza karatasi za aina ipi na kwa gharama ipi
Mfano mm naweza kununua hata kontena tano la karatasi hizi za lim paper used.
Kikubwa ww niambie kama unazo na unauza kwa bei gn kwa kilo hata zijae kontena kumi, kikubwa taja bei yako kama nitaona ni nzuri, tutafanya biashara
kzaratasi za aina ganiNatafuta soko la wateja na kuwauzia karatasi aina zote kutoka nchini China... ni useme ni aina gani ya karatasi unahitaji.
Unaweza usiwe na mtaji ila una CONNECTION to connection ukafanikisha biashara ifanyike. Maana una percent yako ni biashara endelevu.
Uaminifu ni kitu cha kwanza janja janja hakuna. Uaminifu ni mtaji.
Naam.Wakuu mje mtuletee hata kazi za kutumia nguvu, kufanya asubuhi hadi jioni mtu anapewa ujira wake
Coz hizo kazi za professional tulizo somea imekuwa ni ngumu kuzipata kutokana na current situation ya soko la ajira hapa nchini
Nawasilisha