Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,221
Management wanajifanya hawalioni, kuna uwezekano huyu tunayejibizana naye humu ndiye mnywa supu ila anajishaua tuMpaka malori Yani, unakuta foreman anaenda kunywa chai ,hafu wafanyakazi wamekaa kwenye Lori wanamsubiria . Saa tatu au nne . Tena hili la kunywa supu mda wa kazi ni limeota mizizi Yani.
Sent using Jamii Forums mobile app