Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,626
- 1,676
Asante kwa kufuatilia, ila swali langu kwako kwa nini mlishidhwa kuondoa nguzo kwa siku zote hizo mpaka kifo kimetokea ndo mmeweza kuwaondoa nyuki. Si mngewaondoa toka first day mlipopewa taarifaNdugu mpendwa mteja wetu
Tumefatilia kwa kina mpaka kwa uongozi wa eneo husika hakuna nguzo iliyoanguka bali ziliinamana na kazi ya kuzibadilisha ilishindikana kutokana na uwepo wa nyuki wengi kwenye nguzo hizo.Usiku wa kuamkia leo tumefanikiwa kuondoa nyuki na sasa zitabadilishwa.Aidha hakuna kifo chochote kilichotowe taarifa au kutokea eneo husika hivyo kama una taarifa ya ziada weka hapa na namba yako tukusikilize.