Uzembe wa CCM Tabora Mjini wapoteza Mitaa

M-bongo

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
338
71
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
 
Ikiwa ni sihara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!

That is the BEST news to me since!

Ni habari njema kama sisiemu wamelala, maana hawakuanza leo uzembe...
Doroo...dorooo wanangu, usingizi mtamu bado.
Wapinzani chemkeni mulifutilie mbali JINAMIZI hili baradhuli!
 
Mbona hii ni habari njema sana wengine tunasikia kama muziki. Bwana M-Bogo nothing is permanent except change! Tunataka mabadiliko sio watu walewale, siasa ile ile na uongozi ule ule!
 
Ikiwa ni sihara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!


Tabora is very close na Mirembe nadhani M-Bongo ukaangaliwe akili . Habari njema wewe unasemaje ? Uache kututania kabisa . CCM wanatakiwa waondoke na si wala kurekebisha . Wakirebisha means wanaiba kura na kutumia FFU kwa malipo ya shilingi 5 kwa siku .
 
Watanzania tunapaswa kubadilika, hasa ki-mtazamo na kifikra.

Tunapaswa, na pia tuna wajibu wa KUIPENDA NCHI, SIYO KUPENDA VYAMA.

Nawapongeza wana-Tabora kwa kuchagua viongozi waliowataka, na siyo kuangalia vyama.

Hii ya Tabora ni habari njema, na imetokea sehemu nyingi tu.

M-bongo, sababu ya CCM kupoteza viti si uzembe kama unavyotaka watu wafikiri, ila ni kwamba wananchi sasa wanaendelea kutambua kuwa wanapaswa kuchagua viongozi wanaowafaa pasipo kuangalia vyama vya siasa.

Watanzania, pamoja na mizengwe mingi, tunaweza kubadilisha uongozi wa nchi kwa kura. TUPIGE KURA.
 
Ikiwa ni sihara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!

M-bongo, nina wasi wasi na nia yako. Ni wazi kwamba:
1) Wewew ni mwanachama wa CCM
2) Ni adui wa kiongozi aliyepo sasa unayetaka awajibishwe
3) Una mawazo mgando kwamba CCM tu ndiyo chama chenye kutakiwa kuongoza
4) Wewe ni mjumbe kwenye vikao vya CCM Tabora, na ambaye umezoea kupewa fedha kwa semina za udhalimu ambazo mmekuwa mkipeana kwa njia ya takrima
5) Umeingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi, kama kikaragosi wa wakubwa ili upate chochote ( mchumia tumbo)

SASA, ushauri wa bure ni kwamba uache huo ujinga, fanya kazi na watu waliochaguliwa kihalali, si wale waliopita kwa kupika matokeo. Usiangalie sana tumbo lako, watoto wako ndio watakao pata shida pale ambapo udhalimu mnaoendekeza CCM, utafikia mahali mkauza nchi kwa mafia RA na timu yake
TAFAKARI
 
Ikiwa ni sihara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
una maanisha nini kusema UZEMBE WA SISIEM?
wabongo bana ndio mana ngabu anatutukana kila siku.yani wananchi wakijua kuchagua lililo jema,MNAKUJA NA TRACK MPYAAAAAA...........uzembe wa ccm
 
Homeboy, Safi sana hii habari. Wanyamwezi wangu kidogo kidogo wameanza kuamka. Hizi ahadi hewa .... my A**.
 
M-bongo, nina wasi wasi na nia yako. Ni wazi kwamba:
1) Wewew ni mwanachama wa CCM
2) Ni adui wa kiongozi aliyepo sasa unayetaka awajibishwe
3) Una mawazo mgando kwamba CCM tu ndiyo chama chenye kutakiwa kuongoza
4) Wewe ni mjumbe kwenye vikao vya CCM Tabora, na ambaye umezoea kupewa fedha kwa semina za udhalimu ambazo mmekuwa mkipeana kwa njia ya takrima
5) Umeingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi, kama kikaragosi wa wakubwa ili upate chochote ( mchumia tumbo)

SASA, ushauri wa bure ni kwamba uache huo ujinga, fanya kazi na watu waliochaguliwa kihalali, si wale waliopita kwa kupika matokeo. Usiangalie sana tumbo lako, watoto wako ndio watakao pata shida pale ambapo udhalimu mnaoendekeza CCM, utafikia mahali mkauza nchi kwa mafia RA na timu yake
TAFAKARI
You have said it. M-bongo hii taarifa umeileta pasipopake. hapa hakuna wakumbatia vyama, kuna wakumbatia haki na uongozi bora. Tunahitaji viongozi bora, sera tunazo nzuri sana tu, tusichkuwa nacho ni uongozi bora na thabiti. Hureee wana Tabora. Magomeni nasikia CUF wamechukua viti vitatu na CCM moja. Huree wana Magomeni...
 
Ikiwa ni sihara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
Ni aibu kwa M'kiti wa CCM Mkoa kuongozwa na vyama uchwara vya upinzani...
 
ikiwa ni sihara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao ccm tabora mjini itapoteza viti vingi vya udiwani kama mtendaji wa ccm tabora mjini na timu yake hawatawajibishwa! Hadi uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. Matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na ccm vimekwenda cuf, tlp na udp kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. Viongozi wa ccm mkoa na taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora mjini vinginevyo hali ni mbaya mno, katibu mwenezi wa ccm mkoa tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na ccm kwa maana ccm 5 upinzani 6, mkiti wa ccm mkoa wa tabora anaongozwa na cuf aibu!

amka ndugu yangu, sio uzembe, but its a wind of change and people running out of options, read the writting on the wall
 
I only wanted the message to be sent and delivered to my fellows in this way and I thank lord for this
 
Watanzania tunapaswa kubadilika, hasa ki-mtazamo na kifikra.

Tunapaswa, na pia tuna wajibu wa KUIPENDA NCHI, SIYO KUPENDA VYAMA.


Kwa mazingira yaliyopo ni kama haiwezekani kuchagua viongozi bila kuangalia vyama vyao, kwanza kila mgombea anasimamishwa na chama chake na atakapo chaguliwa atatekeleza ilani ya chama chake, sasa hata ukiwa na mgombea mzuri lakini atatekeleza sera zinazotokana na ilani mbovu ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Hivi nini kinatangulia fikra au uzoefu?(na maana hizi fikra za watanzania za kuchagua vyama badala ya wagombea zimezaliwa na haya mazingira ya kuwa na wagombea wanaofanya kazi kwa kufuata matakwa ya wagombea) unajua hata nyerere mwenyewe aliwahi kukiri kuwa kosa kubwa katika demokrasia nji hii imewahi kufanya ni kuzuia wagombea binafsi.
 
Aibu gani we m-bongo...kwani cuf, udp na tlp sio watanzania? Kila mtu ana haki yakumchagua kiongozi anaye mwona anafaa sasa aibu iko wapi.....



Tanzania will never develop under ccm
 
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!

Hakuna cha aibu wala nini! Watu wamechoshwa na li- CCM bwana.... Hongereni vyama pinzani.... Huko Mara umepata habari zozote..?
 
kwani matokeo ya uchaguzi huko tabora mjini upinzani umeshinda?
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
 
Mbona hii ni habari njema sana wengine tunasikia kama muziki. Bwana M-Bogo nothing is permanent except change! Tunataka mabadiliko sio watu walewale, siasa ile ile na uongozi ule ule!


BRYASEL,hivi uraisi mwakani 2010 mnafikiria kula tumpe nani,LIPUMBA,MREMA,ZITTO.Mbona kambi yote hamna mtu wa kutuongoza?,afadhali sisiemu waendelee kupata kula zao,au freemon mbowe,hakuna mtu wa kumpatia kura pale nawambia.
Ombeni mtu atoke ccm aamie cha cha upinzani ndo tumpigie vinginvyo hakuna mtu wakupigia kura labda kama tunataka mabaraa matupu.
 
Back
Top Bottom