Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Toka jana hatujapata huduma katika matawi yoote ya akiba, niko tawi la kijitonyama toka asubuhi eti system ime corrupt. nimemtoa mgonjwa wangu muhimbili ili atibiwe private hospital kwa gharama kubwa, hawa wazembe eti system nzima imefail!!! nchi hii?