jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Nakata tamaa, tamaa ya kuwq kwenye security nzuri ya mali za raia.
Magari 3 yamegongana saa 12:13 jion hii hapa KCMC Moshi.Land cluiser, Toyota Hilux na corrola ....sijaona chochote hapa.Usalama Mdogo msaada mdogo.Raia wapo tu wanawasubiri.
ikumbukwe, KCMC mpk Polis station (KCMC) n mita 40 tu.
mm nipo hapa kwenye tukio
Magari 3 yamegongana saa 12:13 jion hii hapa KCMC Moshi.Land cluiser, Toyota Hilux na corrola ....sijaona chochote hapa.Usalama Mdogo msaada mdogo.Raia wapo tu wanawasubiri.
ikumbukwe, KCMC mpk Polis station (KCMC) n mita 40 tu.
mm nipo hapa kwenye tukio