Uzembe huu utumishi (PSRS) hauvumiliki: Tunawashusha thamani

Jan 4, 2014
31
11
Kuna watu wa kada fulani (MOI) wanatakiwa kufanya usaili wa mahojiano leo tarehe 18/10 pale PSRS. Majina yaliyoletwa kwao ili waitwe kuingia ktk usaili yote yanatofautiana na watu waliokwenda kufanya usaili(sio wao) isipokuwa 9 tu. Walioitwa ni 49 (Wenye ufaulu >=50 na waliofika mpaka sasa ni 47. Lakin 38 wote hawamo ktk list ya wanaotakiwa kusailiwa wakati matokeo yao ya written yanaonesha wawefanya vizuri na wamekua selected.

Je, imetokea vipi mpaka hawa waliofaulu majina yao yasiwemo? na kwa nin uzembe huu uendelee kutokea? Wasaili wanasema hawana maamuz yeyote mpaka wapate maelekezo kwa bosi. We bosi uko makin kweli au ndo figisu?
 
Una uhakika boss yuko humu.Hilo mbona ni jambo dogo la kurekebisha ndani ya dk 5 tu sasa humu umekuja kutafuta nini wakati wote waliofanta written majina na namba zao zipo
 
Alisikika Akilalamika kijana mmoja aliyeshindwa Mtihani wa Mchujo.
Sekretarieti ya ajira wanajitahidi sana,ila sema hakika wamelemewa na idadi ya wasailiwa. Wanaita watu wengi sana kwa wakati mmoja,hivyo kufifisha ufanisi wa process nzima.

Post 2 unaita kwenye oral watu 80.
 
Kuna watu wa kada fulani (MOI) wanatakiwa kufanya usaili wa mahojiano leo tarehe 18/10 pale PSRS. Majina yaliyoletwa kwao ili waitwe kuingia ktk usaili yote yanatofautiana na watu waliokwenda kufanya usaili(sio wao) isipokuwa 9 tu. Walioitwa ni 49 (Wenye ufaulu >=50 na waliofika mpaka sasa ni 47. Lakin 38 wote hawamo ktk list ya wanaotakiwa kusailiwa wakati matokeo yao ya written yanaonesha wawefanya vizuri na wamekua selected.

Je, imetokea vipi mpaka hawa waliofaulu majina yao yasiwemo? na kwa nin uzembe huu uendelee kutokea? Wasaili wanasema hawana maamuz yeyote mpaka wapate maelekezo kwa bosi. We bosi uko makin kweli au ndo figisu?
Bado hujaeleweka mkuu tulia lete mambo tukuelewe wamaanisha kitu ganiii?
 
Jitoleeni kukusanya data zakutosha kiushahidi ili kuyapa mashiko malalamiko haya mf.hifadhini majina ya walioitwa tangia mwanzo kamajina na idadi(written interview),kisha oral( hakikisha unalinganisha majibu ya written na waliofika mf.kupiga picha yale majina ya panel wanayobandika kisha njoo kwenye majibu ya waliopangiwa vituo vya kazi(placement)... Anza kulinganisha tangia majina hatua ya awali mpaka mwisho utaibuka uozo mzima(full evidence),binafsi hapa nimebakisha hatua yamwisho kwa kazi flani hivi..ukweli utabainika
 
Back
Top Bottom