Habari naitwa francis mathias nina mchumba wangu anapenda sana kubemba mimba lakini nashindwa kupangialia tarehe yake ya hatari .Nanimefuatilia mzunguko wake wa hedhi kwa mda miezi mitatu kwa Mfano: aliingia tarehe 2/9/2012 hadi 2/10/2012 nikahesabu nikapata mzunguko wa siku 31 nikaja mwezi wa kumi na moja aliingia tarehe 1/11/2012 nikamjalibu kuvizia siku yake ya hatari nilichukua idadi ya 31 nikatoa 11 nikapata 20 nikagundua siku yake ya hatari ni tarehe 21/11/2012 nanilishiriki tendo tokea tarehe 7,13,14 18,20,21,26,27 .Nayeye mzunguko wake ni wa siku 31 karibia mda mrefu kabla anakwenda hivyo, na uchukua siku 7 hedhi yake .Cha kushangaza mwezi hulio pita alingia 1/11/2012 na nikajua kuwa ataingia tena tare 1/12/2012 ili kufikisha siku 31 na ilipo fika tare 1,2,3,4,5 alipopitiliza nilijuwa tayari kisha beba mimba nikamwambia tujalibu kuangalia hadi tarehe tano ilifika 5/12/2012 amepata hedhi na nikiesabu taena nakuta siku 35 badala ya 31 je ni siku hipi kwake itakuwa ni ya hatari na utajuwaje ovoulation imewadiwa? maana nilikuwa na fuatilia kwa mda mada hizi kuda dalili kama tatu nazo zijuwa .1 joto kubadilika 2.utete ktk ukeni jamii ya yai bichi 3.kupata maumivu katika wakati wa kujamiiana.
Naomba kama sasa hivi ameingia tarehe 5/12/2012 je lini itakuwa siku ya hatari na mzunguko wake utakuwa ni wangapi 31 umebadilika kwani hali hii iliwai kutokea katika mwezi 3 alipitiliza kama wiki nikajuwa kisha beba mimba matokeo yake akapata bleed
Naomba kama sasa hivi ameingia tarehe 5/12/2012 je lini itakuwa siku ya hatari na mzunguko wake utakuwa ni wangapi 31 umebadilika kwani hali hii iliwai kutokea katika mwezi 3 alipitiliza kama wiki nikajuwa kisha beba mimba matokeo yake akapata bleed