lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,171
- 2,660
Sina lengo baya ila chumvi imezidi purukushani mpaka kuangikia mtoni pesa zilikuwepo ukasombwa na mafuriko pesa iko...mhhh hata kama ya kutunga too much lies Mimi nimeishia hapo.Asante kwa kushare mkuu ila mwandishi aliweka chumvi nyingi Facebook watasoma ila hapa ni ma graduates ngumu sana kuwadanganya halafu hata kama ni riwaya inatakiwa uhalisia thanks for your time mkuu.isiwe mwisho wa kushare..shukrani.