Acha kufoka sasa
Iandike hiyo sentence kwa kiingereza.
Acha kufoka sasa
Acha kumpamba huyo jamaa, au hii ni I'd yako nyingine.Hivi ukiacha ile story yako, kuna nyingine ya SA ambayo imeshafika mwisho?
Na ulijibu maswali mengi wadau waliyouliza.
Insecurities ni tatizo, sasa mtu kawekewa uthibitisho kwamba ni fake, lakini badala amfate huyo anakomaa na wewe.
Acha kumpamba huyo jamaa, au hii ni I'd yako nyingine.
Unachekesha eti "Hivi ukiacha ile story yako"
Soo unataka kumaanaisha story za SA ni yake tu ndio iliyofika mwisho.??
Alijibu maswali yapi huu jamaa story, yake ilijamaa makando kando alipakua hadi picha fake mtandaoni ya kumbu, watuu wakamuumbua akaifuta kisha akatomomea, Baada ya watu kumbembeleza ikabidi arudi kwa fedhea. Ila kila mtu alikwisha jua kua ile story yake ni yakutunga
Jamaa ndio amekuwa regulatory director wa mambo ya south Africa.Kwel mkuu huyu jamaa kawa hovyo sana yani akiona tu neno south Africa basi anasimamisha masikio na kutoa macho nilisoma comment kama 60 sijaona comment yake Mara paa huyu hapa sijui anajikuta ndio nan ndan ya south mtu mwenyew umeenda kwa ndege na kurud kwa ndege lakn unajidai unaijua kila boda
Jamaa unasikitisha sana kwa hili swali lako nimeshaelewa wewe niwale wafata mkumbo, kweli huyo jamaaa kafanikiwa kuwachota akili na story yake ya uongo.Unaweza kunipa jibu la story ya SA iliyoisha?
Jamaa unasikitisha sana kwa hili swali lako nimeshaelewa wewe niwale wafata mkumbo, kweli huyo jamaaa kafanikiwa kuwachota akili na story yake ya uongo.
Ngoja nikuwekee moja nyingine ukafanye research sawa
Sitosahau siku niliyonusurika kuuliwa na Polisi wazungu South Africa
Muda kidogo nyuma, nilikuwa naishi south Africa katika jiji la Gauteng (Pretoria), mitaa ya Moreleta Park, nje kidogo ya Pretoria town. Mitaa fulani ya kishua kwa hapo Pretoria. Hii mitaa 70% wanaoishi wazungu na blacks kiasi. Ukiishi maeneo hayo uwe na shughuli maalum , vinginevyo...www.jamiiforums.com
Usilie muendelezo ndo uko unaandikwaaMuendelezo pls
Tulia Kijana,,,, beg alinunua lingine kwa machinga1. Kwenye Gari hamkupigwa pingu wakati mnasafirishwa?
2. Begi ulitoa wapi? Ulinunua jingine Lusaka? Kwani wakati mnaenda kumwaga mtondoo mlienda na mabegi yenu?
Hii stori ipo kwenye kitabu tayari hivyo ni suala la ku copy na ku paste yani ingekua naruhusiwa na mda nilio nao leo ningei paste yote watu wakukuruke nayo......Usilie muendelezo ndo uko unaandikwaa
Mkuu uliweza vp kufungua ile attachment...mm inanipeleka home pageHii stori ipo kwenye kitabu tayari hivyo ni suala la ku copy na ku paste yani ingekua naruhusiwa na mda nilio nao leo ningei paste yote watu wakukuruke nayo......
Tuna mblock mwehu yulechungeni konda msafi asianze maswali
Mmeanza kutuharibia uhondoKuna thread yake humu ya kutaka kwenda South kufata mwanamke, anasema ana miaka 29.
Nikilinganisha na miaka ya huu uzi nikasema ngoja nisubiri nione mwisho wake.
Ili kuipata inakubidi jamii forums uifungulie kwenye browser i.e chrome,operamin,huko Ndio inakua rahisi kuipakuaMkuu uliweza vp kufungua ile attachment...mm inanipeleka home page
Hii imeshawahi kutokea.Hii story ni chai iliyojaa tangawizi ya kutosha.Huyu muandishi hana weledi, tungo yake imejaa maswali Kama yote.Me nimeishia pale walipopata ajali askari wote wakafa wahalifu wakapona.