nana_
JF-Expert Member
- May 17, 2021
- 667
- 1,493
unajua kuchagua nilitaka nimrecommend kwako yule ni chombo haswa achana na ayanda kashachuja btw nadhani anaitwa mondi.
Ngoja tumuangalie kama ntaendana nae
unajua kuchagua nilitaka nimrecommend kwako yule ni chombo haswa achana na ayanda kashachuja btw nadhani anaitwa mondi.
Hahaahaaa.... sasa siananoga kwenye mshiko.... kwaiyo itakua rahisi kwetu kuinjoy😁au unaonajee...umeshakuwa kigeugeu sasa yuda kabisa 😀😀
Pastor Ayanda Xulu anaitwa Mondi? Mkuu utani mwingine sio mzuri😂😂😂😂😀😀 unajua kuchagua 😁 nilitaka nimrecommend kwako 😅😅yule ni chombo haswa achana na ayanda kashachuja btw nadhani anaitwa mondi.
😅😅jealousy type...! ok my Mr hendisamu in all Kwamashu... 😊😊achana na mambo ya watu nisifie na Mimi "hendisamu"😀
🤣🤣Hapana bhana ni mtu mpya(askari) atakua na dhlomo.Pastor Ayanda Xulu anaitwa Mondi? Mkuu utani mwingine sio mzuri😂😂😂😂
Umesema Ayanda keshochuja anaitwa Mondi kwa jinsi alivyo na madem wengi au tumwite King Mswati wa Eswatini Kingdom😂😂🤣🤣Hapana bhana ni mtu mpya(askari) atakua na dhlomo.
sawa kabisaNgoja tumuangalie kama ntaendana nae
🤣🤣🤣mbavu zangu... hapana bhana usinisababishie dhambi kwa pastor wa watu😅 nimemwambia jina la uyo new guy alieingia kwamashu kama jana ulicheki utakua ushamjuaUmesema Ayanda keshochuja anaitwa Mondi kwa jinsi alivyo na madem wengi au tumwite King Mswati wa Eswatini Kingdom😂😂
Hayo ndio mambo sasa mpaka nimeanza kunenepa jamaniHahaahaaa.... sasa siananoga kwenye mshiko.... kwaiyo itakua rahisi kwetu kuinjoy😁au unaonajee...
😀😀😀usihofu mondi akizingua utaenda kwa Captainhaha ugomvi siwezi ngoja tu nijiweke kwa mondi thou sijui tabia zake. Asije akawa kama mondi wetu tu
Jambazi wako xulu naskia katoroka jela huko, sasa utakoma na u singo wako huo ulinicheka sana sasa zamu yako bata wewe 😀😀😀😀👋👋
Eti eehkuna ka polisi kapya kamekuja kahandsom labda hicho alafu nahisi itakua ndo kafanya mpango wa kutoroka kwa xulu ila sijuiii
Nipo nae hapa anawachora tuJambazi wako xulu naskia katoroka jela huko, sasa utakoma na u singo wako huo ulinicheka sana sasa zamu yako bata wewe
Lazima unenepe dear mwaka huu tunaumaliza vizuri....Hapa kwamashu kazi wanayoHayo ndio mambo sasa mpaka nimeanza kunenepa jamani
yes naona Mondi ni Mabuza aliye changamkaYa leo sio ndefu sana,
Mxo anazidi kumu ignore mrs xulu, yeye na ayanda ni paka na panya nyumbani kwao (familia mpya)
Nosi anaenda kuongea na mxo anaonekana kama kuwaonea huruma
Mdogo ake ayanda anatarajia kuondoka kuanza masomo yake ya chuo
Xulu anamtafuta mkewe waonane ila aende mwenyewe,,,,mkewe kaenda ile wanaongea tu polisi haoo. Ikaishia hapo
NB: Naona kama mondi katumwa hivi maana pale anaongea na dolmo kuhusu kutrak simu after kupata taarifa xulu katoroka then anasema anaona tu Nosi kawasiliana na mxo ila Mrs xulu hajapokea simu yoyote wakati alikua anachat na mumewe. Au they only track phone and not messages?
Hongera pia leo nimeipata nimeiwahiYa leo sio ndefu sana,
Mxo anazidi kumu ignore mrs xulu, yeye na ayanda ni paka na panya nyumbani kwao (familia mpya)
Nosi anaenda kuongea na mxo anaonekana kama kuwaonea huruma
Mdogo ake ayanda anatarajia kuondoka kuanza masomo yake ya chuo
Xulu anamtafuta mkewe waonane ila aende mwenyewe,,,,mkewe kaenda ile wanaongea tu polisi haoo. Ikaishia hapo
NB: Naona kama mondi katumwa hivi maana pale anaongea na dolmo kuhusu kutrak simu after kupata taarifa xulu katoroka then anasema anaona tu Nosi kawasiliana na mxo ila Mrs xulu hajapokea simu yoyote wakati alikua anachat na mumewe. Au they only track phone and not messages?