Gazeti hili limeripoti kuwa, migodi inayofanya kazi ni asilimia 20 tu, ukweli ni kwamba Mererani si ile unayoifahamu hali imedorora hadi vijiji vya jirani, maisha ya wananchi yamekuwa magumu sana na biashara nyingi zimeanza kusimama.
Tuendelee kuunga juhudi.
Tuendelee kuunga juhudi.