Uzalishaji wa mzaituni

Sijawahi kuona shamba la mizeituni hapa bongo, ila miche ipo ktk bustani mbalilmbali. Niliiona miche mingi pale SUA mwezi wa tisa mwaka huu, nitajaribu kumuuliza jamaa wa SUA ili kama anajua po pote palipo na shamba ndani ya Bongo atuambie.

Wengi wamepanda mzeituni kama pambo shambani au bustanini.
 
Jamaa wa SUA chuoni, kasema kwa wastani kwa mwaka hawezi kuuza miche ya mizeituni zaidi ya mia moja. Wanunuzi wengi hununua zaidi kwa ajili ya bustani zao, hununua miche miwili,mitatu mpaka mitano hivi. Hajawahi kupata order ya miche zaidi ya kumi kwa mtu mmoja. Na mimi niliiona kwake miche kama mitano hivi.
 
nashukuru sana !!! kwa maelezo yako mtu mwema naweza kupata hizo no za hawa jamaa wa SUA kwani nataka kuazisha kilimo cha mizaituni na ningependa kuongea nao kujua inakuwaje mimi sio kwa ajili ya bustani nataka kwa ajili ya kuzalisha mafuta yake nipo na sokotayari :A S-alert1:
 
nashukuru sana !!! kwa maelezo yako mtu mwema naweza kupata hizo no za hawa jamaa wa SUA kwani nataka kuazisha kilimo cha mizaituni na ningependa kuongea nao kujua inakuwaje mimi sio kwa ajili ya bustani nataka kwa ajili ya kuzalisha mafuta yake nipo na sokotayari :A S-alert1:

Twanga PM nikupe jina lake,simu yake na mtaa anaoishi pale Morogoro. Si vizuri kuanika hapa bila ridhaa yake.
 
Mkuu Malila: naomba nami unirushie hiyo Nambari ya mdau. Inachukua muda gani kuanza kutoamatunda?

Shadow!

Check mail box yako, kwisha kuletea, ila muda wa mti huu mpaka uje uzae sijui. Ngoja na mimi nizame kwa watalaamu nipate ukweli.

Mchana mwema mkuu.
 
Sijawahi kuona shamba la mizeituni hapa bongo, ila miche ipo ktk bustani mbalilmbali. Niliiona miche mingi pale SUA mwezi wa tisa mwaka huu, nitajaribu kumuuliza jamaa wa SUA ili kama anajua po pote palipo na shamba ndani ya Bongo atuambie.

Wengi wamepanda mzeituni kama pambo shambani au bustanini.

wapi naweza pata miche ya mizaituni?
 
Habari Wana Uzi wa mti wa zeitun.
Naomba niwaulize mrejesho
Papaall
Kevin esh
Shadow
Je mlipata Miche ya zeitun (olive)
baada ya kuelekezwa na malila kwa wataalam wa mambo ya kilimo pale sua.
Je mlipanda hiyo Miche
Je kwa Sasa ina hali gani
Je imeanza kuzaa.
Maana ni muda mrefu Sasa almost 10 yrs.
Naomba mrejesho tafadhali

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom