Huu ndio uzalendo

Jan 13, 2018
38
50
f74fd7fb6e949201cbe2a7613063586c.jpg
cd49c357307d83ab1d13c3ca22dc3a71.jpg
724fe54c476e3e24b4fdfb5378f216e6.jpg
Kitendo alichofanya naibu waziri maji Mh aweso kimenifurahisha sana na ni mfano wa kuigwa.nataka viongozi wa namna hii na sio wale wa kukaa ofisini wakipulizwa na ac tu.heko mh aweso
 
f74fd7fb6e949201cbe2a7613063586c.jpg
cd49c357307d83ab1d13c3ca22dc3a71.jpg
724fe54c476e3e24b4fdfb5378f216e6.jpg
Kitendo alichofanya naibu waziri maji Mh aweso kimenifurahisha sana na ni mfano wa kuigwa.nataka viongozi wa namna hii na sio wale wa kukaa ofisini wakipulizwa na ac tu.heko mh aweso
Alilolifanya lina tija gani sasa katika maendeleo? Waziri ni master minder Wa wizara husika we need good policy and clear strategies of attainable goals in his ministry sio rubbish hizi na wewe unampongezaje MTU pale anapoigiza maisha halisi ya watz???do you think ana shida kweli ya maji nyumbani kwake anapoishi?
 
Back
Top Bottom