Uzalendo wawashinda madiwani CHADEMA Arusha,sasa wajipenyeza kwa meya

Arusha Leo

Senior Member
Mar 12, 2012
122
72
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(Chadema) wilayani Arusha waliogoma kumtambua Meya wa Jiji hilo, Gaudence Lyimo sasa wanadaiwa kuanza kumtambua kwa kupitia ‘mlango wa nyuma’.

Tangu ufanyike uchaguzi wa meya wa Jiji la Arusha, kumeibuka mvutano wa kisiasa uliosababisha Chadema wawatangazie wananchi kutomtambua Meya huyo.



Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Omari Mkombole akizungumzia matumizi ya fedha zilizotumika katika uzinduzi wa Jiji hilo hivi karibuni alisema kwamba

madiwani wa vyama vyote walishiriki vikao muhimu vya kufanikisha sherehe hizo.

chanzo,Mwananchi
 
Ndio mnavyojidanganya eenh? mtangoja sana hadi 2015 mtakapotupiliwa mbali moja kwa moja toka ofisi za halmashauri ya jiji la Arusha.
 
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(Chadema) wilayani Arusha waliogoma kumtambua Meya wa Jiji hilo, Gaudence Lyimo sasa wanadaiwa kuanza kumtambua kwa kupitia ‘mlango wa nyuma’.

Tangu ufanyike uchaguzi wa meya wa Jiji la Arusha, kumeibuka mvutano wa kisiasa uliosababisha Chadema wawatangazie wananchi kutomtambua Meya huyo.



Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Omari Mkombole akizungumzia matumizi ya fedha zilizotumika katika uzinduzi wa Jiji hilo hivi karibuni alisema kwamba

madiwani wa vyama vyote walishiriki vikao muhimu vya kufanikisha sherehe hizo.

Source Gazeti Mwananchi.
 
Mimi nilijua hao jamaa kwenye pesa uzalendo utawashinda pesa mbele siasa baaadae peoples poa
 
Madiwani wa chadema wamekuwa wakihudhulia vikao mbalimbali hasa vile vya mhimu kama vya budget, Nijuavyo mimi kwani hata kisheria wasipo hudhulia kwa kipindi furani automatically watakuwa wamejivua udiwani..
 
Mimi nilijua hao jamaa kwenye pesa uzalendo utawashinda pesa mbele siasa baaadae peoples poa
Kama ni pesa huwa wanalipwa na makao makuu lakini haiimanishi kwamba hawafanyi kazi walio tumwa na wananchi...huwa hawaingii kwenye vikao vya kunywa chai...
 
Ndio walishiriki vikao na waliikataa hiyo budget ya kifisadi ya kuzindua jiji Arusha Leo sasa huko ndo uzalendo kuwashinda aliyekuambia huwa hawashiriki vikao ni nani? Ucha ushambenga!
 
Last edited by a moderator:
Chadema imewayumbisha sana wale madiwani wa arusha,yaani maamuzi yanatoka kinondoni yanatekelezwa arusha.mbaya sana hiyo
 
Wale waliotimuliwa wakakta rufaa wameishia wapi?mbona hatusikii uchaguzi mdogo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom